maabara

Ma'abarot (Hebrew: מַעְבָּרוֹת) were immigrant and refugee absorption camps established in Israel in the 1950s, constituting one of the largest public projects planned by the state to implement its sociospatial and housing policies.The ma'abarot were meant to provide accommodation for the large influx of Jewish refugees and new Jewish immigrants (olim) arriving to the newly independent State of Israel, replacing the less habitable immigrant camps or tent cities. In 1951 there was 127 Ma'abarot housing 250,000 Jews, of which 75% were Mizrahi Jews; 58% of Mizrahi Jews who had immigrated up to that point had been sent to Ma'abarot, compared to 18% of European Jews.The ma'abarot began to empty out by the mid-1950s and many formed the basis for Israel's Development towns. The last ma'abara was dismantled in 1963. The Ma'abarot became the most ensuring symbol of the plight of Jewish immigrants from Arab lands in Israel; according to Dalia Gavriely-Nuri, the memory of these camps has been largely erased from Israeli memory.

View More On Wikipedia.org
  1. Z

    Faida ya kiuchumi ya kufungua maabara binafsi ya magonjwa ya binadamu

    Wakuu nina mpango wa kufungua maabara yangu je nitegemee kupata faida gani Kwa siku?
  2. Fortilo

    Maabara ya kisasa mpya kabisa inauzwa

    Wakuu, Nina ndugu yangu ana maabara yake ya kisasa kabisa anauza vitu vya ndani, vyote kama ilivyo, yani ni kuchukua na kuhamisha kila kitu, yeye amehamishwa kikazi. 1. Centrifuge 2. Water Bath 3. Microscope 4. HB Machine 5. BP Machine 6.Weighing Scale 7.Blood collection tubes 8.Autoclave...
  3. Marcy

    HARI YA MWAKA MPYA WAPENDWA JE NI KWELI MATUNDA YOTE YASIYO NA MBEGU NDANI YAMETENGENEZWA NA MWANADAMU KWENYE MAABARA

    Inasemekana matunda yasiyo na mbegu ndani asilimia kubwa yametengenezwa na mwanadamu na hayana nutrients Halisi kama haya yaliyozalishwa na nature Mfano kwasasa kuna machungwa , ndimu ,limao maembe nk yasio na mbegu ndani Ukiuliza wanakwambia ni aina ya hayo matunda lakini kiuhalisia ni...
  4. N

    DOKEZO Hospitali ya Wilaya ya Ubungo, pesa za vipimo zinazolipiwa Maabara bila stakabadhi zinaenda sehemu sahihi?

    Picha: Ubungo Manispaa Mwaka 2021, Mwenge wa Uhuru ulizindua Hospitali hii ya Ubungo ili kusaidia Wakazi wa maeneo hayo kuwa na Hospitali ya Wilaya. Hospitali hii inatoa huduma nyingi na za msingi kuanzia huduma ya mama na mtoto, kujifungua, hadi upasuaji. Licha ya kuwa hospitali hii yenye...
  5. S

    Ni vipi naweza kuhama kutoka hospitali ya mkoa kwenda maabara ya Mkemia Mkuu, NIMR au TBS?

    Kuhama kada inakuaje? Jinsi ya kuhama kutoka hospitali ya mkoa kwenda maabara ya Mkemia Mkuu au NIMR au TBS au Chief Pharmacist
  6. kante mp2025

    Kuomba nafasi ya kazi kwa aliyepata ajira serikalini kada ya maabara ya hospitali!!

    Kama heading inavojieleza hapo juu mimi ni mtaalamu wa maabara, mwenye stashahada nilijaribu kurusha ndoana kwenye ajira za utumishi nikala ndoige ya kichwa kwa kupigwa NOT SELECTED Sasa nimeona wanazengo wengi wakilamba asali kwenye pdf hizi za serikali hasa upande wa kada yangu ya maabara na...
  7. S

    Je kuna uwezekano wa mtu kutoka ajira ya wizara ya afya na kwenda maabara ya mkemia mkuu baada ya kubadilisha fani

    Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu.
  8. green rajab

    Mabaki ya makombora yaliyotunguliwa kupelekwa maabara

    ⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️ 𝗣𝗶𝗰𝘁𝘂𝗿𝗲𝘀 𝗼𝗳 𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗰𝗲𝗽𝘁𝗲𝗱 𝗜𝘀𝗿𝗮𝗲𝗹𝗶 𝗠𝗶𝘀𝘀𝗶𝗹𝗲𝘀 𝗥𝗲𝘃𝗲𝗮𝗹𝗲𝗱… Keep in mind these were Israel’s “top secret” missiles. This missile is either the “𝗥𝗼𝗰𝗸𝘀” or “𝗚𝗼𝗹𝗱𝗲𝗻 𝗛𝗼𝗿𝗶𝘇𝗼𝗻” both top-secret Israeli tech.
  9. Pascal Mayalla

    Helios Towers, kwa Ushirikiano na Camara, Yakabidhi Maabara ya Tehama Shule ya Sekondari ya Jamii ya Wafugaji ya Endevesi, Oljoro, Arusha.

    Kampuni ya Helios Towers, Yakabidhi Darasa la Maabara ya Tehama na Compyuta 26 kwa Shule ya Sekondari ya Endevesi, ambayo ni ya watoto wa wafugaji, Eneo la Oljoro Arusha. Kampuni ya Helios Towers, inayoongoza kwa miundombinu ya mawasiliano kwa njia ya minara, kwa ushirikiano na taasisi ya...
  10. Stephano Mgendanyi

    Ujenzi wa Maabara Tatu za Masomo ya Sayansi Kwenye Kila Sekondari ya Kata Unaendelea Vizuri: Musoma Vijijini

    UJENZI WA MAABARA TATU ZA MASOMO YA SAYANSI KWENYE KILA SEKONDARI YA KATA UNAENDELEA VIZURI Jimbo la Musoma Vijijini lenye Kata 21 kwa sasa lina Sekondari 26 za Kata na 2 za Madhehebu ya Dini. Ujenzi wa Sekondari mpya 11 unaendelea kwenye baadhi ya Kata. Ujenzi wa maabara tatu za masomo ya...
  11. G

    West Bank - Palestina,: Maabara ya mabomu yakutwa ndani ya msikiti uliojengwa kwenye makazi ya raia.

    Jeshi la Israel limeingia Ukingo wa Magharibi (West Bank) kuanza operesheni kubwa kwenye miji inayoshikiliwa na Kundi la Palestine Islamic Jihad. operesheni hiyo imeweza kubaini msikiti wenye maabara ya mabomu ndani yake. imekuwa ni kawaida kwa vikundi hivi kuwatumia raia kama ngao kwa...
  12. Stuxnet

    Wana Mbeya shitukeni, CHADEMA wamegeuza jiji lenu maabara ya sera zao

    Mwanzilishi wa CHADEMA ni Edwin Mtei na nyumbani kwake ni Tengeru, Arusha. Mwenyekiti wa muda wote wa CHADEMA ni Freeman Mbowe na kwao ni Hai, Kilimanjaro. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni John Mnyika kutoka Singida lakini mama yake ni wa Moshi Vijijini. Makamu Mwenyekiti Lissu kwao ni Singida...
  13. Friedrich Nietzsche

    Nahitaji mshirika wa kufungua naye duka la vifaa vya maabara

    Wakuu Nijuzeni Nahitaji kufungua duka la vifaa vya maabara. Pia nahitaji washirika ambao naweza nikawa nachukua mizigo kwao au nashauriana nao. Kama una picha ya duka pia naweza kuona maana sijawahi yaona kabisa
  14. K

    Mtaalam wa Maabara

    Wakuu ninatafuta kazi ya Maabara ,Nina miaka 30yrs ,mwenyeji wa Kahama ila Kwa Sasa napatikana Mbulu...hebu naombeni nafasi ya kazi kupima Maabara...Maana serikali imeipa kisogo sana sekta ya Maabara...Nina uzoefu wa mwingi tu maana nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti....Vyeti na leseni za...
  15. A

    SoC04 Afya na maabara

    UTANGULIZI Katika sekta ya afya kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa vipimo vya awali katika zahanati za serikali , hii hali inapelekea vifo au hali hatarishi zaidi kwa zile jamii ambavyo vipo mbali na vituo vya afya ,hospitali au hospitali za rufaa .. MAADA NA MAELEZO KAMILI Tanzania...
  16. E

    Tangazo la nafasi ya kazi maabara

    Habari! Habari za mchana ndugu zangu, anahitajika mtaalamu was maabara ngazi ya Cheti jinsi Ke, Mshahara maelewano. Call: 0768396747 Ahsanteni.
  17. U

    Kuna anayeifahamu Maabara ya kupima na kugundua magonjwa ya wanyama jijini Mbeya?

    Kama kichwa kinavyojieleza!! Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali! Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi na wataalamu wetu hawa wa "darasani" lakini hakuna maendeleo yoyote!Nilipenda nijue mifugo yangu...
  18. Mdeke_Pileme

    Wataalamu wa Maabara watoa dukuduku lao, kuhusu sakata la utoaji majibu yasiyo sahihi katika Vituo vya Afya

    Baada ya jukwa la JamiiForums kuchapisha nakala kwenye mitandao ya kijamii inayosema :- Bodi ya Maabara Binafsi za Afya ambayo ipo chini ya Wizara ya Afya imesema inayafanyia kazi madai kuwa baadhi ya Maabara zinatoa majibu ya uongo ili Zahanati ziuze Dawa, ikiwa ni ufafanuzi uliotolewa baada...
  19. Roving Journalist

    Ofisi ya Msajili Bodi ya Maabara Binafsi za Afya yasema inafanyia kazi Madai ya Maabara kutoa majibu ya Uongo

    ============= Bodi ya Maabara Binafsi za Afya ni chombo chini ya Wizara ya Afya kilichoanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya Usimamizi wa Maabara Binafsi za Afya ya Mwaka 1997 (Sura 136) kwa lengo la kusajili na kusimamia Maabara binafsi za Afya nchini. Ofisi ya Msajili Bodi ya...
  20. Stephano Mgendanyi

    Musoma Vijijini Waendelea Kujenga Maabara za Masomo ya Sayansi Kwenye Sekondari Zake za Kata

    MUSOMA VIIJIJINI WAENDELEA KUJENGA MAABARA ZA MASOMO YA SAYANSI KWENYE SEKONDARI ZAKE ZA KATA Kwenye miradi ya ujenzi wa maabara tatu za masomo ya sayansi (fizikia, kemia na bailojia) kwenye Sekondari zetu za Kata, Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo anashirikiana na: (i)...
Back
Top Bottom