Ma'abarot (Hebrew: מַעְבָּרוֹת) were immigrant and refugee absorption camps established in Israel in the 1950s, constituting one of the largest public projects planned by the state to implement its sociospatial and housing policies.The ma'abarot were meant to provide accommodation for the large influx of Jewish refugees and new Jewish immigrants (olim) arriving to the newly independent State of Israel, replacing the less habitable immigrant camps or tent cities. In 1951 there was 127 Ma'abarot housing 250,000 Jews, of which 75% were Mizrahi Jews; 58% of Mizrahi Jews who had immigrated up to that point had been sent to Ma'abarot, compared to 18% of European Jews.The ma'abarot began to empty out by the mid-1950s and many formed the basis for Israel's Development towns. The last ma'abara was dismantled in 1963. The Ma'abarot became the most ensuring symbol of the plight of Jewish immigrants from Arab lands in Israel; according to Dalia Gavriely-Nuri, the memory of these camps has been largely erased from Israeli memory.
Wabunge wa URUSI wamelalamika juu ya operesheni maalumu nchi Ukraine kuwa ngumu kutokana na UKRAINE kutumia wanadamu wasiokuwa wa kawaida- Superhumans- ambao wamekuwa modified kwenye maabara za siri nchini Ukraine na marekani. Madai haya yanafuatia tuhuma za Urusi na China juu ya kuwepo maabara...
Mdau wa JamiiForums.com ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa maambukizi ya ugonjwa wa UTI kwa wanawake.
Anahoji inakuwaje sababu kubwa inayotajwa kuwa ni uchafu ipate mashiko kwa nyakati hizi, kwani wanawake wa zamani ndio walikuwa wasafi zaidi kuliko hawa wa sasa?
Mdau huyu anashauri...
Marekani imekanusha tuhuma zinazosambaa mitandaoni kuhusu kusambaza virusi vya "Monkey pox" kupitia maabara zake zilizoko nchini Naijeria ubalozi wa mareakani nchini Naojeria umeeleza
FUATILIA HAPA
US denies spreading Monkeypox through Nigerian labs
The United States has denied social media...
Wasifu:
Mimi kijana mwenye umri wa miaka 23 kwa sasa nipo kahama.
Ni mtaalam wa maabara ngazi ya Diploma na nimehitimu masomo mwaka 2020,
Ni mtaalam nilie sajiliwa na Baraza la maabara Tanzanian.
Nyaraka nilizonazo;
Form IV certificate
Nacte certificate
Nacte Transcript
Cheti Cha leseni...
Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya.
Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye...
KAMATI YA BUNGE YAKOSHWA NA KASI YA UJENZI NA UBORA MAABARA CHANGAMANI TAEC
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeipongeza Tume ya Nguvu ya Atomiki Tanzania kwa kutekeleza Mradi wa Ujenzi wa Maabara Changamani awamu ya pili kwa ufanisi.
Akizungumza kwa niaba ya Kamati...
Februari 18, balozi wa Tanzania nchini China Bw. Mbelwa Kairuki alienda kwenye maabara mpya iliyojengwa na serikali ya Tanzania ili kupima virusi vya Corona huko Dar es Salaam. Hivi sasa maabara hii inafanya majaribio ya PCR na kingamwili.
Serikali ya Tanzania imeiajiri Kampuni ya BGI ya China...
Wanasayansi wanaendelea kutafiti kisayansi kuhusu njia mpya ya uzazi itakaotumika kutengeneza mtoto maabara bila kufuata njia za kawaida za uzazi zinazohusisha ubebaji wa mimba na kuzaa.
Njia hii inaenda mbali zaidi, kuliko inayotumika sasa, ambayo mwanamke anaweza kupandikizwa mbegu na kuzaa...
Chuo kikuu cha Dodoma( kwa kushirikiana na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela wamezindua Mradi wa Maabara ya akili Bandia (Artificial Intelligence) kwa Maendeleo ya Afrika
Mradi huu ni kama wa matumizi ya roboti ambao utalenga kutengeneza mashine ambazo zitakuwa...
haya mambo ya uchifu yalishafutwa tangu 1962 lakini yanaanza kurudi tararibu.
Ni miezi kama minne hivi iliyopita raisi wetu alikutana na machifu lakini jana tena kakutana nao, nini kinafaidisha taifa kwa haya mambo??
ajabu ni kwamba haya mambo yanafanyikia tu huku kwetu bara lakini huko upande...
Kama umesomea fani ya maabara, una vyeti stahiki, umesajiliwa na baraza na una cheti cha usajili, ni muaminifu na mchapa kazi, unahitaji kazi na uko dar nicheki PM haraka nikupe connection.
Asante.
Zaidi ya mara nne naenda kupima naambiawa hakuna malaria.
Nikiangalia mwili wangu upo hoi na hauna nguvu, watu wa hospital Hai wanapima kwa kutumia Malaria test Kit. Mbona hawatumii darubini kama zamani? Maana matokeo yanazingua jamani, mtu unaumwa alafu unaambiwa hauumwi.
Hodi wakuu!
Kama kichwa Cha habari hapo juu kilivyosema nahitaji mtu anayetaka kuuza biashara yake ya duka la dawa yaani DLDM au maabara ya afya kwa mikoa ya kanda ya ziwa.
kwa yoyote anayeuza anicheki
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Tangazo hilo kama linavyojieleza wapendwa ninahitaji nafasi ya kazi.
Nina miaka 28Yrs...mkazi wa Kahama Shinyanga...Nina ERP....Uzoefu upo wa kutosha tu kama miaka 5 tokea nimalize chuo 2016..Nina mke na mtoto mmoja ...0765 626 871.
Natanguliza shukrani
MAABARA NI NINI
Maabara ni jengo maalumu lilojengwa mahususi lilosheheni mashine na vifaa maalumu (machine and equipments) na vitendanishi (reagents) kwa ajili ya kufanya majaribio (trials), vipimo (tests) mbalimbali kulingana na mahitaji. zipo maabara za aina nyingi sana kama vile maabara za...
Habari wapendwa, poleni kwa majukumu mbalimbali ya kujenga Taifa.
Mwenzenu ninatafuta nafasi ya kazi katika taasisi mbalimbali kama za afya, mifugo, kilimo au tafiti.
Nina shahada ya Biotechnology and laboratory science.
Ninauzoefu wa miaka minne katika molecular biology and microbiology...
Katika muda wa miezi michache iliyopita, ukitafuta maneno “Fort Detrick” kwa kutumia Google, hakuna chochote cha maana kilichoonekana, na hata baadhi ya watu katika nchi za magharibi, hasa Marekani kwenyewe wengi walikuwa hawajui kama Marekani ilikuwa na maabara ya virusi inayoitwa Fort Detrick...
TBS INA JUMLA YA MAABARA 9 AMBAZO ZINATUMIKA KUCHUNGUZI BIDHAA KISASA
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) lina jumla ya maabara tisa ambazo zinatumika katika uchunguzi wa bidhaa mbalimbali ambazo ni bora na kuna vifaa vya kisasa vya uchunguzi pamoja na wataalamu waliobobea katika uchunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.