Wakuu,
Nina ndugu yangu ana maabara yake ya kisasa kabisa anauza vitu vya ndani, vyote kama ilivyo, yani ni kuchukua na kuhamisha kila kitu, yeye amehamishwa kikazi.
1. Centrifuge
2. Water Bath
3. Microscope
4. HB Machine
5. BP Machine
6.Weighing Scale
7.Blood collection tubes
8.Autoclave...