Mtu akisha kosa aibu anaweza fanya au ongea jambo lolote lile.
1. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kuozesha binti yao na akawa sio bikra, now si aibu.
2. Ilikuwa ni aibu mtoto kuzalia nyumbani bila ndoa sasa si aibu tena.
3. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kupokea mali yoyote kwa mtoto wao bila kujua...
Jumuiya ya Wanawake CCM (UWT) imeungana na Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii katika kuadhimisha Siku ya Familia Duniani, ikiwataka wazazi kuungana katika suala la malezi badala ya kumwachia mzazi mmoja.
Hayo yamezungumzwa leo Mei 15, 2024 jijini Dodoma na mwenyekiti wa UWT, Mary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.