Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.
Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.
Mungu...