Tafadhali, kama haujatajwa, kaa mbali na huu uzi! Huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya watajwa tu, Wababa wenye Akili na Wamama wenye akili.
Kuna mambo makuu mawili kwa walengwa: onyo na ushauri
Onyo: USIMLOGE MWANAO.
Ushauri: MBARIKI MTOTO WAKO.
Kwenye mojawapo ya vitabu vya Robert Schuller...