Hi guys,
Mnawe kwa maji tiririka, mvae barakoa, mkunywe maji ya tangawizi na limao na mjifukize, narudia tena mpige nyungu..! (Msopenda thread ndefu sitotaka malalamiko, tafadhali beba tu huu ushauri na uende)
Enwei, kuna mpendwa wangu mmoja alikuwa ana date this gentleman for so long, lakini...