Tetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.