Nayazungumzia mabasi ya mikoani yanayoanzia Dar es Salaam kupitia barabara ya Morogoro au ile ya Bagamoyo. Yamekuwa na kawaida ya kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi waikutayo ikiwa hata kama hakuna abiria anayeshuka au kupanda. Kiukweli, kuingia na kutoka kwenye stendi hizi (kwa...
Kwa hili GENTAMYCINE nasema mmechelewa sana hata hivyo nawapongezeni kwa Kuliona na kuamua kulivalia Njuga hivi sasa kwani kuna Watu wamepoteza Maisha na wengine kupata Ulemavu wa Kudumu kutokana na Upuuzi wa baadhi ya hawa Madereva wa Mabasi ya Mikoani.
Yako Mabasi mengi yenye huu Upuuzi ila...
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s
Salender Bridge 1960s
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!
Seaview-Mawingu House 1960
Arusha-Clock Tower 1966
Dodoma City Center 1974
Bukoba City...
Yaani inawezekana vipi dakika hizi hizi 20 mnazotupa tukiwa tumesimama Mombo au Msamvu au Singida Sisi Abiria wenu tuweze kuzigawa Kiustadi kwa Kula, Kukojoa na Kunya wakati tukifika tu haya maeneo tunakuwa Abiria wengi na waliotutangulia pia Kihuduma?
Kwani mkisema tu kuwa muda wa Kula na...
Yaani tuna desturi ya kuchapa kazi mwaka wote kisha tunajiachia msimu wa Krisimasi kwa raha zote, kula bata kwa kwenda mbele, ndio utamu wa kuwa kwenye nchi yenye uchumi bora na ya wachapa kazi.
=====================
The standard gauge railway (SGR) passenger service from Nairobi to Mombasa is...
Habari wanajamii,
Aisee nimekuja kuweka kero yangu hapa nikitumaini pengine mamlaka husika zitaona na kuangalia namna ya kutatua changamoto hii.
Nianze kwa kupongeza Serikali na mamlaka husika namna zinajitahidi kupunguza madhara yatokanayo na ajali za barabarani hususani kwa mabus. Siku hizi...
Hakuna haja ya kufunga, kuzima taa na kuegesha mabasi wakati tunashughuli ya kukimbiza UCHUMI wa TANZANIA.
Kwanini miji kama DAR ES SALAAM, MBEYA, MWANZA, ARUSHA, KAHAMA, MAFINGA, TUNDUMA BORDER nk ifungwe? Nyakati za usiku?
Kwanini mabasi yasisafiri usiku!? Je, hatuwezi kuimarisha ULINZI...
Nimepita sasa hivi eneo hilo nimeona Sauli imegongana na Lori, Sauli imesukumizwa mtaroni hadi ikapanda kingo ya mtaro.
Sijajua kama kuna majeruhi na idadi yake.
Inaonekana walishindwa kupishana Sauli akaamua kupita upande wa kushoto mwa Lori likiwa linaelekea Mashariki hapo ndipo...
Doro aliimba stimu ya Kuber ndo imeshaleta matata
Yeye ndo anajua jinsi ipi alikua na demu mkali ila umaarufu akauweka pembeni
Akatia usanii mbele kama ule wa Prof Jize, na skills za Weusi jinsi ambavyo walimshirikishaga Chin Bees mnyama ilihali wao pia wanaimba. Na unaeza cheki skills za Joh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.