Baada ya kupitia changamoto za kimaisha na Biashara, sasa tumeinuka tena na tayari tumefungua ofisi zetu maeneo ya Ukonga Banana, mkabala na jengo jipya.
Huduma zetu;
SHERIA (WANASHERIA NA MAWAKILI)
BIASHARA (kusajili jina la Biashara, kampuni na Taasisi,
KODI (Ushauri kuhusu kodi, makadirio...