A machine (or mechanical device) is a mechanical structure that uses power to apply forces and control movement to perform an intended action. Machines can be driven by animals and people, by natural forces such as wind and water, and by chemical, thermal, or electrical power, and include a system of mechanisms that shape the actuator input to achieve a specific application of output forces and movement. They can also include computers and sensors that monitor performance and plan movement, often called mechanical systems.
Renaissance natural philosophers identified six simple machines which were the elementary devices that put a load into motion, and calculated the ratio of output force to input force, known today as mechanical advantage.Modern machines are complex systems that consist of structural elements, mechanisms and control components and include interfaces for convenient use. Examples include a wide range of vehicles, such as automobiles, boats and airplanes, appliances in the home and office, including computers, building air handling and water handling systems, as well as farm machinery, machine tools and factory automation systems and robots.
Machine mpya ya kusafishia ndani ya gari
Inatumia umeme wa gari 12V
Inanyonya michanga,vumbi,takataka ndogo ndogo
Inanyonya vumbi kwenye viti
Bei 40,000 tu.
Free delivery ukiwa dar
Call/WhatsApp 0656 666 662
Hbarini ndugu, nataka kujua zile machine za kichina za kuweka sh mia 200 ya salafu zinapatikana vipi, nataka mimi ndio niwe mmliki na muendeshaji, uwa naona wachina ndio wanazifunga maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam, sasa naombeni mwenye kujua yafuatayo
1. Upatikanaji wake?
2...
Nina kaduka kangu sokoni. Nalipa kodi kama kawaida TRA kila mwaka.
Mapato ya mwaka officially yanajulikana ni less than 4 million a year.
Nauliza je na mimi natakiwa niwe na EFD MACHINE?
Nimeingia website ya TRA sijaona jibu zaidi ya hii statement ..." These offences shall not apply to a...
Habari wakuu,
natafuta Car Diagnostic Machine English version.
Au kama unawajua wauzaji toka nchi za nje nisaidie contacts zao.
Nataka inayo toa taarifa za mfumo wa gari kwa Kiingereza
Habari wadau! Tafadhali nahitaji kufundishwa namna ya ku operate 3D VACUUM SUBLIMATION MACHINE pamoja na mambo yote ya msingi yanayotakikana katika ujasiriamali huu! Tafadhali mjuzi wa mambo hizi aliyepo hapa Dar anicheki PM kwa mawasiliano.Asante
Unaweza usiamini hiki ninachoenda kukiandika lakini nina asilimia 1000 hili jambo litatokea katika ulimwengu huu wa kidigitali.
Nina uhakika kwa nchi kama Marekani na China ATM MACHINE hazitakuwa na matumizi tena miaka 5 tu ijayo.
Ni wazi kuwa Marekani na china wanajaribu kutoka katika...
Inauzwa mashine ya kuchomea aina ya CEM SV-260.
imetumika lakini bado iko kwenye hali nzuri sana
Bei ni mil 1.5
Iko Dar
njoo 0763969066
ziko storage nafasi ni finyu sikupata uwezo wa kupiga picha vizuri.
Wana JF,
Ukitaka kujua aina za wachungaji tuliona basi unasubiri tu mudam ahadi lukuki za Askofu gwajima sijawahi ona hata mojam alisema atafungua chuo cha marubanim watu waje kujifunza kuendesha ndegem Alisema mwakani ataingiza machine za kufua umeme ambazo zitamaliza kabisa tatizo la umeme...
Habari wana JF. Mimi ni mchimbaji mdogo, nimepata site nzuri ya kuchimba na kutengeneza ore ya madini ya dhahabu kwa ajili ya uchenjuaji, mtambo wa kusagia mawe kwa maana ya crusher machine ninao, na eneo linasoma ppm nzuri kwa ajili ya kupata ore nzuri ila nimekwamishwa na kitendea kazi kimoja...
Habari zenu, mwenye uzoefu na hizi machine za kufulia nguo, nahitaji kununua machine ya kufulia mwenye kujua, kampuni ipi ni nzuri, zenye uzito gani ni nzuri, na kadhalika sio ya kufanyia biashara ila ni kwaajili ya matumizi ya nyumbani tu.
Karibuni sana wakuu wenye kujua
Ni mashine yenye uwezo wa kuchana mbao nyingi kwa mda mfupi na kwa kutumia watu wawili tu.
Pia ni chombo kinachobebeka kwa maana ya kuhamishwa mara kwa mara.
Zipo za aina mbili Inayotumia petrol engine na motor engine. Ulaji wa mafuta ni mdogo sana.
Bei yake ni kuanzia million 17 za...
Habari wadau
Nauza mashine ya kuprint tshirt heat press machine heavy duty
Inatumika kuprint picha na maneno kwenye tshirt
Inafaa sana kuchapa tshirt za kampeni za wagombea.. na tshirt za kumbu kumbu ya msiba
Bei ya mashine ni shilingi milioni moja ( 1,000,000 )
Mashine ni heavy duty na...
Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa
Ni imara na haikati misumeno
Ina watts 550
Ina sehemu ya kusagia nyama
Ina warranty mwaka mmoja
Bei 1,350,000 tu
Tunapatikana kariakoo ndanda st
Tunadeliver free kwa dar pia.
Call/text/WhatsApp 0656666662.
Hizi mashine za kutoa risiti za TRA ni ghali hasa kwa mtu anayeanza biashara na hana uhakika wa mzunguko wa fedha. Uchunguzi mfupi niliofanya ni kwamba Bei ya chini kabisa ni Sh. 580,000. Bei ya juu ni mpaka shs 2m.
Natoa pendekezo lifuatalo kwa TRA. Watengeneze application ambayo inaweza...
Call/WhatsApp 0788622610
Brand New popsicle machine
Ina tray 2 (40 popsicles each)
Inazalisha pisi 80 kwa dk20
Inauwezo wa kuzalisha zaid ya piece 5000 kwa siku
Bei:3,300,000 only
Ukinunua utafaidika bure na maelezo yote jinsi ya kutengeza Ina warranty mwaka mmoja Tupo Kariakoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.