HAKUNA DEMOKRASIA INAYOWEZA KUJENGWA BILA UKOSOAJI WENYE TIJA KWA WALE WALIO MADARAKANI
Imeandikwa na: Mwl.RCT
UTANGULIZI: Demokrasia ni mfumo wa utawala ambao unategemea uwajibikaji, usawa na uhuru wa kujieleza. Kwa wakati wetu, nchi nyingi duniani zinajitahidi kujenga na kudumisha demokrasia...
Nihakikishie ulinzi na kupita kwenye uchaguzi tutayajenga.
Ndio sababu hata watawale miaka 1000 faida zitokanazo na Rasilimali za Nchi hamtaziona kamwe.
Mikataba ya Siri, vikao vya siri, chaguzi haramu, mikopo ya kumwaga.
Ili kuepuka mtego huo Kiongozi au Chama chake ni lazima kichague njia...
Nguvu ya Mwanamke Madarakani.
Mwaka wa 2023 ulikuwa mwaka wa uchaguzi mkuu nchini Tanzania. Watu walikuwa na matumaini makubwa ya kuleta mabadiliko katika serikali na jamii. Walitaka viongozi wanaowajibika, wanaoheshimu haki za binadamu, wanaopambana na ufisadi na wanaotekeleza maendeleo...
Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa.
Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri...
Ni majuzi tu kwa mara ya pili mfululizo rais wetu amefanya mabadiliko ya uongozi wa mikoa 3 na wilaya moja. sikufurahishwa kuondolewa kwa meja jenerali Mzee kisa tu anasimamia sheria. Vile vigingi viliwekwa kisheria mbunge anachochea wananchi kwa maslahi yake mkuu wa mkoa alikuwa firm leo...
Ukifuatilia nyendo za Viongozi Wakuu wa CHADEMA unaona kabisa ni wazi tena kwa makusudi wameamua wawe chawa wa Samia (wa CCM) wakidhani wanamkomoa Hayati Magufuli kwa kile wao hudhani na kuamini eti aliwanyanyasa kwenye harakati zao wakati yeye alipokuwa na Mamlaka 😄.
Binafsi, napatwa na...
Rejelea kifo cha maraisi wakiwemo Saadam Hussein, Gaddaf na wengineo wengi ikiwemo wa Africa kama Idd Amin na wengineo hii inadhihirisha kuwa raisi anayekandamiza demokrasia basi hung'olewa madarakani kwa lazima.
Marekani haitakuwa tayari kuwaacha maraisi wenye tabia kama hizi kuendelea...
Amani muswano.
Tupo chungu cha tano leo ndugu zangu ni kasi ya ajabu sana hii.
Nafuatilia siasa za jirani zetu hapo Kenya, kuna mambo yanafanyika siyo ya kistaarabu kwa kweli.
Naona huyu mujamaa makamu wa Rais ndg Rigathi Gachagua hana furaha anapoona wakenya wana amani.
Leo bana kuna...
1. Kiwango cha Ujinga ( Ungumbaru ) kwa Wananchi wa Taifa lake Kuongezeka.
2. Utamaduni wa Visasi na Chuki kwa Waliokuchukia na Usiowapenfa Kuongezeka.
3. Kiwango cha Elimu Kushuka na kuwa ICU huku Ufaulu wa Kisiasa kwa Wanafunzi Kuongezeka.
4. Kiwango cha Wanaume wengi kupenda kuwa kama Dada...
Kuna nini labda Kimejificha hapa? Je, hii Mvua inamuadhimisha Hayati Dk. Magufuli kwa Kifo chake Miaka Miwili iliyopita au ni Mvua ya Kuonyesha kuwa Mama ( Rais Samia ) ana Baraka na sasa Tozo, Mikodi, na hali ngumu ya Maisha iliyoko ndiyo inaenda kuwa Historia?
GENTAMYCINE nimekaa pale kusoma...
Naibu waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara nchini na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Mhe. Exaud S.Kigahe amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023
Mhe.Exaud S.Kigahe amesema...
Ni kumbukizi ya miaka miwili tangu Kifo cha aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, maarufu kama JPM au Chuma.
Aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo, ambaye sasa ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alitangaza kifo cha Hayati Maguli Machi...
Mbunge wa Viti Maalum, Mwakilishi wa Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Janejelly James Ntate amempongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujikita kuangazia katika suala la Ajira na Upandishwaji vyeo.
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu...
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Rashid Kawawa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani kwa kutekeleza Miradi katika sekta mbalimbali.
1. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa...
MBUNGE WA KALIUA MHE. ALOYCE KWEZI AMPONGEZA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA MIAKA MIWILI MADARAKANI
Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Tabora Mhe. ALOYCE KWEZI amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani huku akiainisha...
MBUNGE WA WAFANYAKAZI JANEJELLY NTATE AMPONGEZA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA MIAKA MIWILI MADARAKANI KWA ALIYOYAFANYA KWA WATUMISHI
Mbunge wa Viti Maalum, Mwakilishi wa Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Janejelly James Ntate amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Songea Vijijini Mhe. Jenista Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023
Mhe...
babati
dkt. samia
janeth mahawanga
jenista mhagama
jimbo
kutimiza
madarakani
makubwa
mambo
miaka
pongezi
rais
rais samia
rais samia suluhu
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
vijijini
Habari zenu wana-jf wenzangu! Tumsifu Yesu Kristu!
Hakuna kizuri kisichokuwa na dosari na vilevile hakuna kibaya kisichokuwa na uzuri wowote.
Sasa je ni yapi mazuri na mabaya na changamoto katika uongozi wa papa Francis!
Rais Samia Suluhu Hassan amejipambanua kuwa ni msikivu kwa watu anaowaongoza. Samia amerejesha uongozi shirikishi. Kwamba unapotaka kuwaletea maendeleo wananchi basi uwashirikishe Ili kujua nini kipaumbele chao. Usilazimishe kuwajengea daraja kumbe shida yao ni kisima cha maji nakadhalika.
Sasa...
Tangu aapishwe Machi 19, 2021 Rais Samia Suluhu amekuwa akifanya jitihada za kuanzisha na kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo kwa lengo la kukuza uchumi.
Baadhi ya miradi hiyo ni ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP), Reli ya kisasa (SGR), barabara kubwa na ndogo...