Mwalimu aliyesambaza picha hizi kufukuzwa
JUMATANO , 8TH FEB , 2023
NA MWANDISHI WETU
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Wakili Triphonia Kisiga, amesema Mwalimu wa kujitolea katika shule ya sekondari Sinde, Evarist Chonya, aliyesambaza picha za uongo za wanafunzi wakiwa wamekaa chini...