Abū al-Ḥasan ʻAlī ibn ʻAbdillāh ibn Jaʻfar al-Madīnī (778 CE/161 AH – 849/234) (Arabic: أبو الحسن علي بن عبد الله بن جعفر المديني) was a ninth-century Sunni Islamic scholar who was influential in the science of hadith. Alongside Ahmad ibn Hanbal, Ibn Abi Shaybah and Yahya ibn Ma'in, Ibn al-Madini has been considered by many Muslim specialists in hadith to be one of the four most significant authors in the field.
Trump ametufundisha jambo kwa sasa fukuza wazungu kwenye migodi nasisi tuchimbe dhahabu zetu wenyewe fukuza kwenye gesi uko yaaani ubaya ubwela tu kila mahali tukae wenyewe fukuza kwenye viwanda vya cement
Nchi yetu, Tanzania, imebarikiwa kwa utajiri mkubwa wa madini na maliasili. Dhahabu, almasi, tanzanite, gesi asili, chuma, na mengine mengi yamehifadhiwa ardhini, yakisubiri kuchimbuliwa na kutumika.
Lakini je, tunapaswa kukimbilia kuchimba madini haya sasa, au tuwaachie warithi wetu, vizazi...
Kwenye interview ya CNN leo tarehe 3, Rais wa Rwanda amesema yeye haibi madini Congo, wezi wakubwa wa madini ya Congo ni Afrika Kusini na Wazungu wa Ulaya.
Kagame anasema haibi madini ya Congo, anayo madini yake anachimba Rwanda.
=================
President Paul Kagame says he doesn't know if...
Nchi hii imebarikiwa sana na huu ndo ukweli halisi, Si mbunga za wanyama, ardhi zenye rutuba, mito, mistu maziwa, Bahari na madini vyote hivi vinapatikana Tanzania achilia mbali ambavyo sijataja kama ges na makaa ya mawe na vingine vingi.
Wakuu kuna vitu serikali inawafanyia wananchi wake...
Inaonekana hata Rais Kagame angetamani hii migogoro iishe ila ni kama kuna shinikizo kubwa sana ambalo hata yeye anashindwa kulimudu.
https://x.com/Sentletse/status/1885081658363203707?s=19
▪️Ampongeza Rais Samia kwa kwa maono ya kukuza sekta ya Madini
▪️Avutiwa na aonesha utayari wa kusaidia VISION 2030
Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN)
Mhe Amina Mohamed ameipongeza serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mkakati wa kufanya...
Habari wadau Kuna mtu yoyote qnaejua biashara ya madini ya shaba kutoka zambia na kusqfieisha kwenye nji nyingine je utaratibu wake up upoje mwenye uelewa ndugu zangu nahitaji msaada
Tanzania Kituo cha Mageuzi ya Nishati: Mkutano wa Nishati Afrika 2025 na Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan
Ikiwa zimebaki siku 29 kuelekea Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika, Tanzania inajipanga kuandika historia kwa kuwa mwenyeji wa tukio hili kubwa. Mkutano huu, unaotarajiwa...
afrika
dkt. samia
endelevu
kuhusu
madini
maendeleo
maendeleo endelevu
maono
matumizi
milioni
milioni 300
mkutano wa nishati
nishati
nishati safi
rais
rais dkt. samia
rais samia
rais samia suluhu
rais samia suluhu hassan
rasilimali
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
ubunifu
ujumbe
umeme
usalama matumizi ya gesi
ushirikiano
waafrika
Habari zenu wana JamiiForums na wadau wa madini kwa ujumla,
Naomba kufahamu ukweli kuhusu bei ya amethyst kwa hapa kwetu Tanzania (soko la ndani) kwa zile zilizo safi ,rangi omekolea na ukubwa kuanzia 3g nakuendelea ,kilo inakua bei gani?
Na je ukizalisha soko lipo la uhakika au adi upate...
TANZANIA NA KOREA ZAJADILIANA NJIA BORA YA KUENDELEZA MADINI MKAKATI
▪️Waziri Mavunde asisitiza ushirikiano kwenye utafiti wa madini na uongezaji wa thamani madink
▪️Korea yaonesha utayari kuwekeza nchini katika uendelezaji wa madini mkakati
▪️Serikali ya Tanzania kuandaa mkakati maalum ya...
Serikali imeimarisha sekta ya madini kwa kuweka mazingira wezeshi ili kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
Katika kipindi cha miaka minne, Serikali imedhibiti na imesimamia uchimbaji wa madini na kutoa leseni tano kwa kampuni za Sotta Mining Corporation Limited (SMCL)-Wilayani...
Wakuu pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa, nimerudi tena hapa jukwani Kwa utafuti niliofanya Leo ni kwamba haya ni madini ya Garnet nyekundu na nimedhibitisha hilo Kwa kulinganisha mara kadhaa sehemu tofaut, nimekuja kwenu Kwa ombi moja tu kwa mtu yeyote anaelijua soko aniambie au Kama yeye ni...
Kwa wadau wote wa biashara ya dhahabu, hasa wale waliobobea katika ununuzi na uuzaji wa dhahabu kwa wingi (Broker na Dealer). Nimekuwa nikifikiria kuanzisha biashara ya ununuzi wa dhahabu hapa Tanzania, na ningependa kusikia ushauri wenu.
Nina bajeti ya takriban shilingi milioni 400 hadi 500 za...
Kahama, Tanzania
TANZANITE NI RASILIMALI INAYOPATIKANA TANZANIA PEKEE, HIVYO TUWEZE KUONGEZA THAMANI
YAKE
https://m.youtube.com/watch?v=TAir66Cw5X8
Sekta ya madini tupo nyuma katika kuongeza thamani, kwani tukikata madini kama tazanite, almasi, Vito hadi watalii wakija Tanzania wanunue madini...
Kampuni ya Barrick Gold Corporation imetangaza kuanza hatua ya usitishaji wa shughuli zake kwa muda katika mgodi wa Loulo-Gounkoto uliopo nchini Mali.
Hatua hiyo imekuja kutokana na mvutano kati ya kampuni ya Barrick na serikali ya Mali kuhusu taratibu mpya za ugawanaji mapato yanayotokana na...
Hii sio habari ya udaku.
Ni habari ambayo kila mwenye akili timamu anaweza kuihakiki.
Huko vijijini wawekezaji (wachimbaji) kutoka Asia hasa wachina wametapakaa wakichimba madini.
Kama mjuavyo Wachina walivyo na akili, Mchina anajua madhaifu ya Mtanzania, kuwa ukimwekea pesa kwenye bahasha tu...
▪️Waziri Mavunde ainisha Mkakati wa uongezaji thamani Madini
▪️Taasisi za Jiolojia na Utafiti Madini za Tanzania na Uingereza kushirikiana
▪️Watanzania kujengewa uwezo kukuza ujuzi
📍Dar es Salaam
Serikali ya Tanzania imeihakikishia Serikali ya Uingereza kuendeleza ushirikiano kwenye sekta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.