mafia

A mafia is a type of organized crime syndicate whose primary activities are protection racketeering, arbitrating disputes between criminals, and brokering and enforcing illegal agreements and transactions. Mafias often engage in secondary activities such as gambling, loan sharking, drug-trafficking, prostitution, and fraud.
Nowadays the 'Ndrangheta, originating in the southern Italian region of Calabria, is widely considered the richest and most powerful mafia in the world.The term "mafia" was originally applied only to the Sicilian Mafia and originates in Sicily, but it has since expanded to encompass other organizations of similar methods and purpose, e.g., "the Russian Mafia" or "the Japanese Mafia". The term is applied informally by the press and public; the criminal organizations themselves have their own terms (e.g. the Sicilian Mafia and the related Italian-American Mafia refer to their organizations as "Cosa Nostra"; the "Japanese Mafia" calls itself "Gokudō" but is more commonly known as "Yakuza" by the public; and "Russian Mafia" groups often call themselves "Bratva").
When used alone and without any qualifier, "Mafia" or "the Mafia" typically refers to either the Sicilian Mafia or the Italian-American Mafia and sometimes Italian organized crime in general (e.g., Camorra, 'Ndrangheta, etc.).

View More On Wikipedia.org
  1. Cathelin

    Naomba kupata taarifa kuhusu kisiwa cha Mafia

    Naomba kujua kiundani kisiwa Cha Mafia. Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya hicho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc. Vipi gharama za maisha zikoje? Na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini? Je mitandao ya simu...
  2. Roving Journalist

    Mafia: Mashindano ya Kipanga Cup yahitimishwa

    MASHINDANO YA KIPANGA CUP YAHITIMISHWA WILAYANI MAFIA ▫️Timu ya Big Time yaibuka kidedea ▫️Yatoka na zawadi ya Bajaji Mafia, PWANI Mashindano ya mpira wa miguu ya Kipanga Cup yamefikia tamati Machi 27, 2022 kwa timu ya Big Time, kuibuka mshindi wa goli moja kwa sifuri dhidi ya timu ya Stone...
  3. aise

    Kisa cha rafiki yangu wa Mafia

    Habari zenu wakuu, rafiki yangu wa mafia ananiambia hivi. Mimi nimezaliwa na kukulia kisiwani mafia, shuleni kwetu tangia naanza darasa la awali mpaka namaliza darasa la saba, hapakuwahi kuwa na mwanafunzi mkristo, sote tuliwa wa imani ya uislamu. Aliwahi kuja mwalimu mmoja wa imani ya ukristo...
  4. chongoe

    Jahazi imezama ikielekea Songo songo kutokea Mafia

    Jumla ya watu sita wamezama mmoja ameokolewa na boti ya dagaa, maboti ya fery ila watano waliobaki wameshaokotwa wawili wakiwa maiti na wamezikwa Somanga, waliobaki utafutaji unaendelea.
  5. chongoe

    Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

    Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani [
Back
Top Bottom