KISA CHA SWAHABA WA MTUME S,A,W
Ar'wa ibn zubair ulikatwa mguu wake kwa maradhi yaliyokuwa yakimsibu.
Siku hiyo hiyo ambayo alikatwa mguu akafiwa na mtoto wake mmoja kati ya watoto saba aliokuwa nao.
Akasema Ar'wa "Ewe M/Mungu ninakushukuru kwani hakika ww ndiye uliyenipa watoto saba na leo...
Wasalaam Wakuu.
Naomba kufahamu mwenye uelewa juu ya mafundisho ya Rui na imani ya Kibahai.
Nimepitia mtandaoni, nimeambulia kitu. Ila bado sijashiba na kuielewa barabara juu ya imani hii mpya kuisikia.
Natanguliza Shukrani.
Cc Mshana Jr
Huu ndio ukweli ambao Roman imeamua kuuachia katika kipindi hichi cha mfungo wa kwalezima
And the LORD said to Moses, "Make a fiery serpent, and set it on a pole; and every one who is bitten, when he sees it, shall live." So Moses made a bronze serpent...
Numbers 21:8-9
Recently we received an...
Naona taratibu sasa Mwamposa anataka Kupunguza Waumini wake ili akajikite sasa Kusimamia Miradi yake mingi na Biashara zake nyingi zenye Utajiri mkubwa kuliko Umasikini Uliokomaa wa Waumini wake wanaomuona Mungu Mtu hapa Dar es Salaam na Tanzania.
Kwasababu kama ni Maombezi hayo ya Uwongo na...
WADAU
AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya maandiko hayo ilikuwa kupitia vijitabu vidogo vilivyoitwa, UJINGA WA MWAFRIKA"
Miongoni mwa maandiko...
Maisha ni safari ndefu yenye vikwazo na changamoto nyingi, wakati mwingine unaweza kusema maisha hayana raha na Kama ipo ni kidogo Sana.
Hauta sahau nini katika maisha yako?
Ndani ya nafsi ya Kila mwanaume zimewekwa taarifa kuhusu mwanamke anae tamanisha, hamasisha na kuvutia kufanya nae sex.
Kuna mwanamke ukimuangalia tu unajua yupo vizuri kitandani.
Mtazame Aunty Ezekiel
Jack Pemba alifaidi Sana.
# Her eyes, the way she talk, the way she look, her rudeness...
1. Lala nae (muhimu kuliko yote)
2. Mlishe ashibe
3. Muheshimu
4. Mwache awe na amani
5. Usimuingilie katika mambo yake.
Ni ajabu sana wanawake hawawezi kuyafanya haya matano kwa waume zao, ni kwanini?
Shogangu anaolewa bwana, Leo ananihadhithia jinsi gani walivyoenda kwenye mafundisho ya ndoa halafu mchungaji akawa anazugazuga alipomwuliza swali na KUMFOKEA😂
Shogangu: mchungaji samahani, maana tangu mafundisho yalipoanza na leo tunamaliza, na kila kitu unasema ni dhambi tukiwa kwenye kufanya...
Ninamsifu na ninamshukuru baba yangu mzazi kwa :-
1. Kuandaa mazingira ya kumwoa mama hatimaye nikawa duniani.
2. Kujenga nyumba ya tope na bati, na kutulelea humo, wakati huo majirani wote walikuwa na nyumba za makuti.
3. Kuishi kwa kutegemea kilimo na ufugaji ndani ya shamba la baba ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.