mafuta ya kupikia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carleen

    Mchele mzuri kabisa pamoja na mafuta ya kupikia ya alizeti yanapatikana

    Hi guys, Kwa mchele mzuri kabisa, ambao ukipika kiubwabwa chako kwanza kinakuwa kitamu pili kinanukia mpaka mtaa wa 7 huko, usisite kutuagiza, bei inaanzia 1500/= tu kwa kilo moja. Pia tuna mafuta safi na khalisi kabisa ya alizeti Lita 3 kwa tsh. 17,000/= na Lita 5 kwa tsh. 28,000/= tu za...
  2. 2019

    Dumu la lita 20 mafuta ya kupikia sasa ni Tshs 90,000, bado yanaenda juu

    Kwa style tunayoenda nayo Magufuli lazma akumbukwe bila kupenda. 1. Tozo 2. Bei ya vitu kupaa 3. Serikali haina kauli 1 tena. 4. Wakazi wa Dodoma 5. Wenyeji wa Chato Yaani mwanaume mwanaume tu. Wengi tulimchukia sana Magufuli lakini hata kama hatokumbukwa lakini kimoyo moyo lazma umkumbuke...
  3. G

    Athari za mafuta ya kula yaliyoharibika (rancidity)

    RANCIDITY NI NINI? Rancidity ni hali ya kuharibika kwa mafuta ya kupikia au mafuta yaliyo katika vyakula mbalimbali kama vile samaki au nyama kutokana na jinsi yanavyotumika, kuhifadhiwa au kupita muda wake wa matumizi (expired). Katika kuharibika hutoa kemikali ambazo ni hatari kwa afya ya...
  4. Matendo Andrew

    TBS, Mafuta ya kupikia yanatoa povu. Je, yameisha muda wake?

    Mimi ni mjasiliamali muuza chipsi LAKINI wahusika tunaomba MSAADA WENU wa kiuwajibikaji fuatilieni mafuta yakula yanayoingia sokoni Kuna ambayo yanakua yanakasoro hivyo yanatusababishia hasara yanamwagika na tunapata tabu ya kimatumizi. Aidha hatujajua mafuta haya yatakua na madhara kiasigani...
  5. P

    Bei ya Mafuta ya kupikia bado iko juu sana

    Jana nimenunua mafuta ya kupikia hapa Ubungo - River Side. KORIE dumu la lita 20, shillingi 79,000/=. Hayo mafuta yaliyoingia bandarini ya kutosha matumizi ya miezi sita yako wapi? Au ni wafanyabiashara wakubwa wameficha mzigo ili bei iendelee kuwa juu? Prof Kitila mkumbo na naibu wake si...
Back
Top Bottom