magari ya polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nimepishana na msafara mkubwa wa magari ya polisi hapa Kibaha, uelekeo wao ni Dar Es Salaam

    Magari takribani 12 mpaka 14 aina ya Land Cruiser yakiea na shehena ya askari nimepishana nayo hapa kibaha yakielekea Dar. Jumatatu kutachangamka sana huko Mjini, mliopo Mbezi mnaweza mkosogea karibu na barabara mjionee🤣
  2. K

    Hivi magari ya Polisi yanakaguliwa?

    Nimekuwa nikikutana na Magari ya Jeshi la Polisi yakiwa katika hali ya ubovu kiasi kwamba naamini yakikaguliwa taarifa itasomeka kwamba hayafai Kwa matumizi ya Binadamu! Juzi juzi hapa nimeshuhudia tyre inachomoka wakiwa kwenye mwendo na kuwasababishia Ajali sijui kama walipona wale watu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…