As of 2013 with the coming into effect of the new constitution, each county has its own government and therefore there is no central regional capital. Kakamega is the seat of government for Kakamega County, Bungoma County has its seat in Bungoma town, Busia County has the Assemble in Busia, Vihiga County in Vihiga town, all the County governments and governors are answerable to the people not to the national government.
The Western Region (Swahili: Magharibi) of Kenya, bordering Uganda, is one of former Kenya's seven administrative provinces outside Nairobi. It is west of the Eastern Rift Valley and is inhabited mainly by the Luhya people. Quakerism is widely practised here. Kenya's second highest mountain, Mount Elgon is located in Bungoma County. The Kakamega Forest rainforest is part of the area. The province capital is the town of Kakamega.
Mtoto mwenye miaka 11 mkazi wa kijiji cha Ngemo kata Ngemo Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amezua taharuki kwa kuonekana hai tena baada ya kufariki miaka
minne iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Geita, Kamishana msaidiizi Henry Mwaibambe
amesema mtoto...
Wazungu husema hivi "Once is an accident, twice is a coincidence and thrice is a pattern
Ule ukanda wa Afrika Magharibi wana kitu cha ziada ambacho nadhani hakionekani lakini kipo tu. Ukifuatilia historia utatambua kwamba watu wenye asili ya ukanda ule ndiyo wanaotawala sehemu kubwa ya tasnia...
Maelfu waandamana mji mkuu wa Ethiopia “Addis Ababa “ kupinga propaganda dhidi ya nchi yao, wakivitaka vyombo hivyo kuacha kuitangaza vibaya nchi hiyo. Huku wengi wakiahidi kuwa wapo teyari kupambana na vikosi vya Tigray kama wataitaitajika kufanya hivyo kulitetea taifa hilo.
Mpaka sasa, Jambo lilo wazi katika vita ya Ethiopia ni mkono wa nchi za magharibi katika mgogoro huo.
Baadhi ya viashiria vinavyoonyesha mkono wa nchi za magharibi katika vita hiyo:
matumizi ya magari ya FAO yaliyopeleka msaada wa vyakula na waasi wa TPLF.
Ushahidi wa Marekani na washirika...
Katika muda wa miezi michache iliyopita, ukitafuta maneno “Fort Detrick” kwa kutumia Google, hakuna chochote cha maana kilichoonekana, na hata baadhi ya watu katika nchi za magharibi, hasa Marekani kwenyewe wengi walikuwa hawajui kama Marekani ilikuwa na maabara ya virusi inayoitwa Fort Detrick...
Tarehe 21 Agosti ya kila mwaka ni siku ya kimataifa ya kukumbuka wahanga wa ugaidi. Umoja wa Mataifa uliichagua siku hii kwa makusudi, kutokana na changamoto ya ugaidi kuwa kubwa na kuathiri watu wengi duniani. Mwezi Aprili mwaka huu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Gutiérrez...
Mara nyingi ninapofuatilia mijadala inayohusu ugaidi, kuna kambi mbalimbali za mawazo. Wengine wanasema ( mfano"Mashehe wa Uamsho" au "Watuhumiwa halisi wa ugaidi Tanzania")"Hakuna ugaidi, ni propaganda za nchi za Magharibi tu", .
Wakati utetezi huo ukisemwa, tunaona kweli vurugu na mauaji ya...
Nchi za kiafrika zinatakiwa kutafuta njia nyingine ya kisiasa. Demokrasia ya nchi za magharibi haifanyi kazi Africa nzima. Ni vurugu tupu. Africa inahitaji viongozi bora, kama Kagame ama Hayati Magufuli kuipeleka Tanzania mbele. Wao wenyewe hawakuweza kujenga uchumi wawo. Wabeligiji...
Wakuu msituchoke, tuliahidi kuwafikishia kila kitu kitakachojiri kwenye ziara za Mkakati mpya wa CHADEMA inayoitwa OPERESHENI HAKI, hii ni kampeni ya kuchagiza upatikanaji wa Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi .
Baada ya kupita kwenye kanda kadhaa sasa imeingia kwenye Kanda ya Magharibi...
Hivi karibuni, watu kutoka sekta mbalimbali barani Afrika wamezikosoa nchi za magharibi kwa kutoa shutuma zisizo na msingi dhidi ya hali ya haki za binadamu nchini China. Hii ni kwa sababu China na nchi za Afrika zina historia ya mateso na maono yanayofanana katika masuala mbalimbali, ndio maana...
Umuhimu wa uwanja wa ndege wa Chato umezidi kuonekana baada ya kuwa kiunganishi kikubwa kwa mikoa ya kanda ya ziwa. Leo hii kiongozi akitoka Dodoma anatua Chato na kisha kuelekea eneo lolote la maeoneo ya kanda ya ziwa.
Makamu wa rais akiwasili Chato kisha kuelekea Kigoma kwa kazi za chama.
Amani mtoto wa Msumari
Amani itawale kwenu.
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu demokrasia. Jambo ambalo kwa hakika siwezi kulipinga ni ule ukweli kuwa, vyovyote vile, demokrasia ni jambo la muhimu sana kwenye jamii yoyote. Shida yangu iko kwenye dhana na maana ya demokrasia.
Dunia imepitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.