Gilbert "Magu" Luján (October 16, 1940 – July 24, 2011) was a well known and influential Chicano sculptor, muralist and painter. He founded the famous Chicano collective Los Four that consisted of artists Carlos Almaraz, Beto de la Rocha (Father of former Rage Against the Machine frontman Zack de la Rocha), Frank Romero and himself. In 1974, Judithe Hernández became the "fifth" and only female member of Los Four.
Luján was born in French Camp, California, near Stockton, to parents of Mexican and indigenous ancestry from West Texas. Six months later, his family relocated to East Los Angeles, California, where he spent his childhood and adolescence, except for some time in Guadalajara in 1944 or 1945. As a young teenager, Luján was heavily influenced by the Afro-American music scene in Los Angeles, for instance listening to Johnny Ace and Mary Wells. He went to El Monte High School, class of 1958.
Kwenye video Hayati Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao.
Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee, sawa; moja kwa moja kwenye Mada.
DEO Msingi (W) Magu, napenda kukujulisha kwamba, uongozi wa Shule ya Msingi Magu umepwaya, kiasi kwamba mshikamano wa waalimu shuleni hapo haupo; waalimu wamegawanywa na Mwalimu Mkuu EZEKIEL NJALLA; kiasi kwamba...
Ingekuwa ni amri yangu; huyu Afisa Elimu Taaluma (W) Magu angeondolewa mara moja kwa sababu ni mla rushwa aliyekithiri na ayependelea waalimu wa kabila lake (Wajita).
Amekula fedha kwa walimu wengi sana aliowaahidi kuwapa ualimu mkuu (hao nao wanastahili kushughulikiwa kwa sababu kutoa rushwa...
Hizi ndo akili za wazungu. Kwa nini tusiwaite mabeberu wao wanaamini Bado wanatutawala.
Napenda hii movie ingechezwa kipindi cha uncle tungeona rangi zote.
Ujinga huu huu ndo uliochelwesha bwawa la nyerere Kwa miaka nenda Rudi bila magu ingekuwa historia Hadi Leo.
Tunahitaji watawala jasiri...
Wakuu naomba koneksheni ya kuweza kusafirisha mizigo ya nyumbani kutoka Magu Mwanza kwenda Morogoro. So nahitaji gari ya mizigo inayopita hapa Magu kuelekea Morogoro au Dar..
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza.
Akizungumza leo Agosti 21, 2022 katika ziara, Masanja amewataka...
Jamani kwema
Hayati Magufuli alikuwa ana mapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyohusu maslahi ya taifa alikuwa mkali kupitiliza, alijitahidi kuboresha miondombinu kila idara majini (bandari zote), nchi kavu na angani
Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli 😢😢😢😢...
Msingi wa shida zote ni serikali za mitaa, na hizi karibu zote zilipita bila kupingwa,
Sasa hapa Kariakoo misheni kota yaani utafikiri uko sijui kwenye viwanda vya kutengezea malori, yaani mitaa yote kuanzia Ndanda hadi Muheza, Narun'gombe, Magira, Masasi na Aggrey street hapajulikani ni jiji...
Hivi vibao vya anuani za makazi mmevichanganya. Barabara ya kutoka Mwanza kwenda Musoma inaitwa NYERERE ROAD. Ninyi mmeiita MUSOMA ROAD. Maeneo ya Kisesa wameandika inaitwa NYERERE ROAD hivyo hivyo na wilaya ya Busega wameiita NYERERE ROAD.
Hata Mwanza mjini barabara hii ilipoanzia...
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku...
Kama alivyokuwa Mobutu Seseko na Rais wengine wa Afrika, Wazungu ukiwapa access na resource zako, ukifanya vyote wanavyotaka kamwe hawatakutoa madarakani, hii ndiyo Afrika ilivyo.
Sie tunajua Magufuli alivyopambana na Mabeberu na kuwapiga pliers kwenye interest zao, hivyo hawakutaka Magu...
Mkuu wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Salum Kalli amekerwa na vitendo vya baadhi ya wananchi kuvunja makaburi na kutoa vyuma chakavu kama nondo na waya na kwenda kuuza.
Akiwa katika zoezi la Uzinduzi wa Anwani ya makazi Februari 20, 2022, DC Kalli ameagiza kusakwa na kutiwa nguvuni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.