Kalikenya alisimama kidete kuelezea masaibu waliyokuwa wanayapata ktk Gereza kuu la Butimba huko Mwanza.
Baada yatukio lile, kuna maneno mengi yalisemwa kuhusu Kalikenya, na hata baada ya msamaha wa rais, Kalikenya hakutangazwa, wala kuonekana kutoka katika msamaha huo, kitu kilichopelekea...