Mahiri was a 411 GRT Empire F type coaster that was built in 1944 by Henry Scarr Ltd, Hessle, United Kingdom as Empire Farringdon for the Ministry of War Transport (MoWT). She was sold in 1946 and renamed Susie Olivier. A further sale in 1948 saw her renamed Mahiri. She served until 1974 when she sprang a leak and foundered.
Karibu kwa ujenzi Imara wa nyumba.
Tunajenga majengo ya kawaida na ghorofa.
Tunafanya ukarabati wa majengo yaliyo chakaa.
Tunafanya ujenzi wa mfumo wa kisasa wa majitaka usiojaa.
Bei zetu ni nafuu na zinazingatia maisha ya mtanzania.
Tunapatikana Dar es salaam lkn kazi tunafanya popote ndani...
Urusi hakuna future tena, baada ya mabilioner kuikimbia wanafuata wanamichezo
======
(CNN)Russian-born tennis player Natela Dzalamidze has changed her nationality to Georgian to avoid the ban Wimbledon imposed on all Russian players following the country's invasion of Ukraine.
The doubles...
Nampongeza sana Mshambuliaji Simon Msuva kwa Kufunga Goli zuri, tamu na la Viwango ambalo limetupa Alama Muhimu leo.
Nawapongeza mno Wachezaji wote wa Kikosi cha Taifa Stars kwa Mchezo mzuri walioucheza leo na hadi kutupa Ushindi na kuna Kitu nimegundua kuwa ukitaka Taifa Stars ishinde basi...
Leo nimeshuhudia mtanange baina ya Taifa Stars na Benin kupitia luninga. Kusema ukweli Taifa Stars wamecheza vizuri kuliko wapinzani wao aliyewaangusha ni kipa Manula.
Namshauri Kocha wa Taifa Stars kutafuta kipa mahiri badala ya Manula. Kipa gani anashindwa kudaka mpira uliopigwa mita 30...
"Kuna Wanaume wengine Wana tabia za Kike Kike za kupenda Kuwasema Watu vibaya ambao wameishi na kufanya nao Kazi kana kwamba hawakuwa na Mazuri yao au Yeye nae hana Mapungufu yake. Tafadhali ukiachika nyamaza tu kwani Kutajataja Watu kunaonyesha jinsi gani unavyowakubali na ulivyoumia kutokuwa...
Akizungumza 'mubashara' kabisa katika Kipindi Bora kabisa cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One kinachoruka kila Siku za Jumapili kuanzia Saa 1 na Nusu asubuhi hadi Saa 4 Kamili asubuhi, Mwanasaikolojia Mwalikwa Dkt. Charity Xavery leo ametoa kitu Kiitwacho Ukweli Mchungu kwa Wasikilizaji...
Hatimaye Simba SC yaweka rekodi kwa Kuingiza Wachezaji Wanne katika Kikosi bora cha Wiki cha CAF akina Chama, Boko, Miquissone na Tshabalala?
Au
Twiti ya Kiutani wa Kimchezo ya Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji kwa Kuwaita Kaizer Chiefs FC ni Mediocre ( Wajinga ) baada ya Kufungwa Juzi Goli 3...
Uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia unazidi kujipambanua dhahiri kadiri siku zinavyosonga mbele. Na sasa amegusa jambo muhimu sana na la msingi zaidi katika ujenzi wa Taifa lolote lile kwa ajili ya maendeleo endelevu.
Katika mazungumzo yake na wazee wa Dar es Salaam hivi karibuni, pamoja na mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.