mahusiano katika ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Ni jambo baya mwanaume kuharibu maisha ya mwanamke mwaminifu

    Sisi Watibeli Moja ya miiko yetu ni kutokuwa waharibifu. Hatuharibu vitu vizima. Hatuharibu vitu ambavyo ni vyema. Ukiwa mwema Sisi Watibeli hatuwezi kukutendea ubaya. Hiyo ni Kanuni yetu na ipo damuni. Watibeli ni mwiko kuharibu wanawake waliowaaminifu. Wanawake Safi hatuwezi kuwachafua...
  2. Manyanza

    Hatua 3 za kupenda tena na kuamini watu wengine baada ya mahusiano yako kuvunja au kusalitiwa

    Mapenzi hayana bima wala hayana formula maalumu ambayo kila mtu anaweza kuitumia na kupata matokeo yenye kufanana. Unaweza kutengana na mwenza wako saa yoyote,muda wowote bila kujali uwekezaji wako kwake.Hauwezi kudumisha mahusiano kama mwenza wako ameamua muachane.Utadumu na mwenza wako pale...
  3. Nawashukuru Sana

    Usije ukapoteza muda na rasilimali zako kutaka kumbadilisha mtu ili awe kama wewe

    Kuelekea 2025 . Kauli mbiu ni "Protect your Energy" (Linda nguvu yako). Katika maisha kuna mambo mengi Sana ambayo huleta destruction , disappointment and heart fainted. Katika mahusiano Usihangaike kumbadilisha mwanamke / mwanaume ili aendane na wewe utaumia Sana Ila wewe unaweza kubadilika...
  4. More Chances

    Naomba Ushauri: Kuna binti nimezaa naye lakini sihitaji kuishi naye kama mke. Simuoni kama mwanamke wa ndoto yangu

    𝐼𝑘𝑜 ℎ𝑖𝑣𝑖𝑖, 𝐾𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑜𝑤 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑤𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑎𝑑ℎ𝑎𝑎, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑢𝑙𝑖𝑗𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑖𝑙𝑒 𝑠𝑜𝑔𝑒𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑒 𝑖𝑙𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑜𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢𝑜𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑎𝑛𝑎𝑚𝑘𝑒 𝑤𝑎 𝑛𝑑𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑗𝑒𝑢𝑟𝑖 , 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑠𝑎𝑠𝑖 𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑜𝑡𝑒...
  5. Last_Joker

    Biashara za Wanandoa: Kufanikiwa Pamoja au Kuachiana Majukumu?

    Kwa wanandoa wengi, kuanzisha biashara ya pamoja ni ndoto ya kuwa washirika wa maisha na kazi. Unapomuona mpenzi wako sio tu kama mwenza wa maisha bali pia mshirika wa biashara, inatoa nafasi ya kuimarisha uhusiano wa kifamilia na kifedha. Lakini wakati ndoto hiyo inaweza kuonekana kama...
  6. exalioth

    Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

    Nakwenda kwenye maada Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo Sasa...
  7. D

    Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

    Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada...
  8. Last_Joker

    Wanandoa wa siku hizi wanapaswa kupeana Password za Simu au kila mtu na yake?

    Kila siku tunasikia mijadala inayoibuka kuhusu privacy kwenye mahusiano, na swali kubwa ni hili: Je, wanandoa wa kisasa wanapaswa kupeana password za simu zao au kila mtu abaki na yake? Tuko kwenye enzi ya teknolojia, ambapo simu imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya mtu binafsi – kuna wale...
  9. Mkalukungone mwamba

    Wanawake wasomi punguzeni kuringa na dharau kuna fursa mtazipoteza na baadae kujutia

    Kuna baadhi ya dada zetu wamesoma na wanaelimu nzuri tu. Lakini wasomi wakike jamani wanaringa sana na kujiona wao ndiyo kila kitu na dharau za kutosha. Wengi wao wanaona wao ndiyo bora mbele ya mwanaume lakini hata huko maofisini wapejipa majina yao wakijiita mafemenisti mh jamani ni balaa...
  10. Hammer11

    Najisikia vibaya sana, Mpangaji mwenzangu ananitesa kimapenzi

    Iko hivi hapa nimepanga niko natoka kimapenzi na mpangaji mwenzangu. Kinachoniudhi huyu bi mdada mara aje na wanaume awapikie wale wasepe, mara aondoke akalale hukoo simuoni kurudi. Daaah ni shida sana
  11. SISIS

    Nimemwambia akipata kazi na pesa ndiyo nitajua kama ana mapenzi ya kweli na mimi, kakasirika

    Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe. Hapa kati kati akawa anafosi nimuowe nikamwambia tu wewe hapo ulipo tabia zako halisi bado...
  12. realMamy

    Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

    Katika hali ya kawaida watu wengi hujikuta wamefanya makosa mbali mbali ikiwamo ya Usaliti. Makosa hayo yanaweza kufanyika kwa kukusudia au kwa kutokukusudia. Wakati mwingine inakubidi ufanye kosa hilo ili uweze kufanikisha Jambo fulani. Je limewahi kukutokea hili, na ulivukaje?
  13. B

    Ni kweli mapenzi hayana muongozo ila hakuna mwisho wa kujifunza

    Katika Harakati za Kila siku basi mdachu 🤣maeneo fulani dodoma mara Rafiki angu wa kike ambae hatukua na mazoea sana akapiga simu gari yake "24.O Harrier" Tako la nyani imekamwa njiani ameishiwa uwese/mafuta Mimi Niko town AREA D wakati huo Sina gari wala pikipiki, ikabidi nichukue kidumu cha...
  14. Se Busca

    Msaada: Njia gani naweza kutumia nikamsahau mwanamke niliempenda?

    Habari za usiku huu wakuu, kuna mwanamke nimeishinae kwa muda wa miaka miwili, kutokana na tabia zake za ajabu ajabu siku hizi amebadilika sana, kinachonifanya nishindwe kufanya maamuzi nimemzoea sana mwanamke wangu amekuwa alikuwa malaya ila akaahidi kuwa atatulia na kuwa mwanamke bora...
  15. Valentine Yusuph

    Nimebaki njia panda Juu ya kufanya maamuzi magumu kwenye mahusiano yangu ya mapenzi

    Nawashukuru kwa mawazo yenu nyote, nimepata maamuzi mazuri ya kuchukua. Nimegundua humu jf kuna watu hawana busara. Mtu akileta wazo unatukana kwanini!?
  16. Moto wa volcano

    Mapenzi yanakawaida ya ku expire

    Mapenzi yanakawaida ya ku expire, unaweza kumpenda mtu lakini kama tabia haivutii, moyoni anaanza kuyeyuka anakuwa hakushtui tena.
  17. M

    Nimenuniwa na mpenzi wangu

    Hello JF, Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi...
  18. realMamy

    Umemsave kwa jina gani Mpenzi/Mke/Mume kwenye simu yako?

    Watu wengi hutumia Majina mazuri ya kuvutia kwa watu wanaowapenda. Na kuna wale wenye wapenzi wengi hutumia Majina ambayo sio mazuri sana kuwa save watu hao kwenye simu zao. Mimi nime msave 💖 wewe je, umemuandika vipi?
  19. Hammer11

    Nifanyeje ili mke wangu asigundue kuwa sikufanya mapenzi hivi karibuni?

    Iko hivi mimi nina mke wangu, sasa anarudi kati ya siku hizi mbili toka huko Uarabuni, alikuwa anafanya kazi. Sasa kilichonileta ni kwamba yeye anakuja na tumekuwa hatujaonana kwa miaka miwili. Sasa sasa mm nilimdanganya miaka yote sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote kitu ambacho si kweli...
  20. J C

    Hii kauli inamaanisha nini wadau?

    Mwanandani wangu wa kike amekuwa na tabia kuvutia mambo kwao mathalani kuwafundisha watoto tamaduni za kwao ikiwemo lugha na kusifia mambo mengi ya kwao. (kabila lake). Sasa Jana ghafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea...
Back
Top Bottom