maisha ya dar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Wakuu hamjambo?? Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa...
  2. Watu wengi wa Dar wanaishi makazi duni sana

    Watu wa mikoani, hivi ulishawahi kujiuliza kwanini ndugu yako wa Dar anapiga chenga kila ukitaka kumtembelea? Ukiachana na chakula na gharama za Maisha, watu wengi wanaishi makazi duni sana hapa jijini. Kwanza salamu kwako mkuu, wale wana dalisalama watumishi wa umma na wengineo najua imekua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…