NARINGA- ZUCHU
Mh-mmh
Nani Roney?
Ah, Roney (he-hey, yoh Tron)
Sing, mmh, eeh
Let sing, come on, eeh
Sioni aibu
Kwa kila linalo nifika
Maana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachoki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa...