majaji

Queen Modjadji is the hereditary female ruler and queen of Balobedu, South Africa. She is known to be mythical and historical, and she is believed to have had powers that let her control the clouds and rainfall by bringing rain to her friends and drought to their enemies.
Female rulers were known as “rain queens” or “rainmakers” around this time. Furthermore, she brought rain to the regions of any visitors who offered her gifts and tributes. As a conspicuous figure in South Africa, transforming the clouds was her specialty. She was essentially not a ruler, but a rainmaker. Men relied on her ability for security, as she would provide rain for her town’s tribe as a shield.
The Lobedu (Lovedu) tribe believed that the queen exercised some general control over their seasons, and thus, she was held accountable for the effects of the rain conditions. She also had a team of assistants.
The queen also functioned as a ritual doctor who made medicines. The rain medicines were stored in earthen pots in a secure part of the village. Her reputation spread from Zambezi to the Southern Ocean as having medicines for all people, including medicines that made warriors invincible by crippling their enemies.

View More On Wikipedia.org
  1. Gamba la Nyoka

    Rais, Majaji na wote wasiokatwa kodi kwenye mishahara yao ni muda muafaka nao waanze kulipa kodi

    Kama kulipa kodi ni uzalendo, basi rais wa nchi ndiye anayepaswa kuwa mzalendo namba moja. Kama Tanzania ni nchi ya Usawa, basi haiyumkiniki wawepo watu katika nchi hii wawe ni wavuja jasho, wanaokamuliwa kodi kwenye mishahara yao lakini kuna jingine la watanzania haohao mfano rais na Majaji...
  2. B

    Majaji wanapatikana kwa mchakato gani Tanzania?

    Tanzania Majaji wanapatikanaje? Au Rais anaweza akamteua mtu yeyote kuwa Jaji? Sioni kama kuna mchakato wowote unaoihusisha mahakama kuwapata majaji. Naona kama serikali ndio walioshika nyenzo zote za majaji na ndio maana kadri siku zinavyokwenda idadi ya majaji wasiotokana na mfumo wa mahakama...
  3. J

    Spika Ndugai: Enyi majaji kumbukeni Hukumu anatoa Mungu siyo ninyi hivyo mkamtangulize Mungu katika utendaji wenu

    Spika wa Bunge Job Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu. Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote. Source: Channel ten
  4. Erythrocyte

    Serikali: Majaji wateule kuapishwa Mei 17, Wakuu wa Mikoa Mei 19

    Hii ndio Taarifa ya serikali ya Tanzania iliyosambazwa kwa vyombo vya habari . Shughuli hizo zitafanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete .
  5. B

    Hivi kwa sheria za Tanzania Majaji wanashtakiwa?

    Ofisi ya DPP pekee imetoa majaji wanne wa mahakama kuu ya Tanzania. Hawa ndio walikuwa engine ya kuvurugwa mfumo wa haki. Je majaji wanashtakiwa? Kama awashtakiwi hii yakuwateua haiwezi kuwa njia yakuwaficha wasipambane na mkono wa dola? Tufungue macho tusiwaamini sana wanasiasa, Wana njia...
  6. Papaa Mobimba

    TEUZI: Rais Samia Suluhu ateua Majaji wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu. DPP Mganga ateuliwa kuwa Jaji

    Rais Samia amefanya teuzi za Majaji wa Mahakama wa Rufani, Mahakama Kuu na Kumwongezea muda Jaji Mahakama ya Rufani.
  7. Father of All

    Hivi kuendelea kuvaa wigs kwa majaji na maspika wa mabunge ya Kenya siyo ukoloni wa kujitakia?

    Wanangu hamjambo humu ugani? Leo nimeona bi mkubwa SSH alipohutubia mabunge ya Kenya maspika alikuwa wamevalia wigs. Je, kweli bado kuna haja ya waswahili kuvaa katani na kudai bado wako huru? Wanangu nisaidieni. Pia hata majaji wa Kenya huvaa wigs. Kipindi cha Dr Willy Mutunga yalipigwa chini...
Back
Top Bottom