Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman...
Wataalamu wa KEMIA mtusaidie tunaponunua maji kitu gani cha msingi cha kuangaliaaa?
Huwa nasikia sikia wengi wanasema maji yenye sodium ndogo ndio mazuri.
Mwenye uelewa hizi composition zina maana gani kwenye maji ya kunywa
Calcium
Chloride
Flouride
Potassium
Sodium
PH
Msaada kwenye tuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.