Wakuu vipi.
Majirani zetu Uganda wanamzuka sana na Electric Vehicles na Hybrids. Kuonesha mzuka wao, serikali ikaona itoe kodi (zero tariff) kwenye EV, E-Bikes na kupunguza kwenye hybrids kwa mwaka wa fedha 2023/24.
Huu msamaha ukapelekea gari za EV zilizoingizwa UG kwa mwaka 2023/24 kufika...