Licha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi, na January kufeli kabisa kwenye umeme, uashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu!
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha hawa vijana.
Baada ya kutafakari na kuangalia mambo yanavyoenda, nimegundua Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa.
Hussein Bashe ni Waziri wa Kilimo sioni Watu wa Kilimo Wanamlalamikia. Sasa hivi anapima udongo anajenga maghala sababu anaamini Wakulima...
Nipo hapa home umeme umekata.
Na hii ni Desembe 3.
Mlisemea Kinyerezi 1 itakuwa imekamilika.
Sasa mbona mmedanganya bunge?
====
Walichokisema November 2, 2022
Serikali imesema makali ya mgao wa umeme nchini yanaweza kupungua mwezi ujao wa Novemba baada ya kukamilika kwa miradi ya umeme...
Salama wandugu.
Nianze tu kwa kifupi Royal tour msingi wake mkubwa ni kuvutia wawekezaji.
Msingi wa mwekezaji namba moja ni nishati,sasa makamba anachofanya ni kumhujumu bosi wake umeme wake wa kwikwi usioeleweka.
Wanafikiri wanawakomoa wananchi kumbe wanamkoa bosi wao.
At the end of time...
Hapo juu ni ukurasa maalum wa mitandao ya kijamii wa mtoto wa Malecela ukiwatuhumu Viongozi hasa wahusikao na nishati ya umeme inayoongozwa na Makamba kwa kufanya mambo yasiyo na u-muhimu huku wakiacha Samia akisemwa kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
'....unarushaje live mikutano ya mama ili hali...
Wanyamwezi tuna usemi "if it ain't broke, don't fix it."
Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi.
Lakini tukaona hapana, tupindue meza. Kalemani kaa pembeni ili aje January.
Makamba tungeweza kumuweka hata wizara ya mambo ya nje, lakini wapiii? Kalemani...
Hapa tunaibiwa kiwaziwazi kabisa.
Yaani mkuu wa wizara anayehusika na umeme anatamka wazi kuwa tuna ziada ya Mw 1400.
Halafu ghafla naibu wake anadai kuna upungufu!
Halafu mgao unatamalamaki nchi nzima.
Tuandamane kupinga huu wizi. Tuandamane watanzania.
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nishati Januari Makamba wamepoteza sifa za kuendelea kubaki kwenye madaraka yao kwa kitumia vibaya nafasi zao za uwaziri kumdanganya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan juu ya mambo mbalimbali ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara zao ili lile lengo...
Huwa siwezi amini kuna kipindi Nape alikuwa anaonekana shujaa, smart. Huwa naogopa kukumbuka hilo. Kuna kipindi naye Makamba akasingiziwa kuwa ni smart.
Nlikuwa nawaambia. Ukikuta nyoka anaungua na moyo usaidie moto kukolea. Unaweza msaidia nyoka...kwa tabia za kinafiki za nyoka kuna siku...
Vijana mmeaminiwa na Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania kwa kupewa uwaziri lakini mnachokifanya kwenye wizara zenu ni madudu tu. Hamjaonesha kuwa mko competent kuweza kugombea nafasi ya Urais hapo mbeleni.
Mwigulu Nchemba umeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi badala yake umeweka tozo...
Katiba ya chama chetu haisemi kwamba tusitie nia au tumuachie aliyepo bila kumpa changamoto yoyote! Hapana! Tutashindana ili tumpate aliye bora! Mimi sitasubiri 2030, nitapambana na Samia 2025 ili demokrasia iamue!
Sitafanya kama ambavyo Makamba na wengine wanaoshauriwa kwamba wangoje 2030...
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu...
Kuwa mbunge na Waziri Kwa miaka mingi, sio hoja!
Hoja ni nini umefanya katka nafasi zako hizo? Una record zipi ktk kulitumikia Taifa na hata upewe nafasi ya juu zaidi.?
Tuweni wakweli tu, Mh January, amelifanyia nini Taifa letu mbali na kuwa kwenye nafasi Mbalimbali za juu kiuongozi.
Ni...
Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January...
Ni wazi matatizo yanayoikumbuka Tanzania kwa sasa ni matokeo ya Hayati Magufuli kuufifisha upinzani huku aliamini ni salama kwake hadi hapo angemaliza Utawala wake pasiwepo wa kumsumbua. ALIJIDANGANYA!
Hayati Magufuli pamoja na mazuri yote aliyopata kuyafanya lakini hilo la kuufifisha upinzani...
Gazeti la Raia Mwema la leo Oktoba 31,2022 limeweka wazi Siri nzito baada ya Chama cha Mapinduzi kunusa mchezo mchezo mapema na kuahirisha vikao vya mchujo.
Wajumbe, wagombea wa mikoa waondoka Dodoma, wapagawa.
Lakini kwenye gazeti hilo limemtaja Januari Makamba kuwa ni miongoni mwa wagombea...
Dar es Salaam
Wanaogombea nafasi ya NEC ni aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba, January Makamba ambaye ni mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nishati.
Pia, yumo Iddi Azzan ambaye ni mbunge wa zamani wa Kinondoni, mbunge wa sasa wa Kinondoni, Tarimba Abbas na Josephat...
Kumekuwa na Juhudi nyingi kufuta Mazuri yaliyofanywa na Hayati Magufuli,Jitihada hizi zinaonekana waziwazi hasa kutokutambua mchango wake kwenye Miradi aliyoiacha,
Katika Daraja jipya la Wami aliloliasisi tumeona mzinduzi alivyokwepa kutambua mhasisi dr Magufuli.
Katika ukaguzi Wa Meli tumeona...
Kwa kuwa bei ya umeme haiendani na uhalisia wa mauzo, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema halipati mtiririko mzuri wa mapato, hivyo kushindwa kulipa madeni yake ya muda mfupi, hali inayowakimbiza wawekezaji.
Hali hii inatokana na ukweli kwamba mara nyingi, Serikali huwa inakopa kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.