1. BC INVESTMENT
Hii ilkuwa na platform ya uwekezaji ambayo walikuwa wanatoa takribani 7% ya pesa uliyowekeza na kiwango Cha chini kuwezeza ilikuwa 14,000/=
2. QNET
Hii sina experience nayo ila nasikia Ilipita na Hela pia.
3. EARNJET AGENCIES
Mkurugenzi wake alidai anatoka Nairobi anakuja...