Kwanza ikumbukwe kuandaa Mdahalo ni gharama!
Turudi kwenye mada, Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesusia Mdahalo Kwa sababu Dr Nchimbi hajahudhuria hali iliyopelekea Makatibu Wakuu wa CUF na ACT Wazalendo nao kususia wakimuunga mkono Mnyika
Je kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo ni Cha...