makato

Makato, officially the Municipality of Makato (Aklanon: Banwa it Makato; Hiligaynon: Banwa sang Makato; Tagalog: Bayan ng Makato), is a 4th class municipality in the province of Aklan, Philippines. According to the 2015 census, it has a population of 27,262 people.In 1948, the arrabal of Tangalan, comprising the barrios of Tondog, Jawili, Dumatad, Afga, Baybay, Dapdap, Pudyot, Tagas, Tamalagon, Panayakan, Vivo, Lanipga, Napatag and Tamoko, was separated from Makato to form the municipality of Tangalan.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Mwigulu anafanya kilekile alichokikataa kwa wenzake

    Lewis E. Gleeck Jr, ni mtumishi wa zamani wa Idara ya Mambo ya Nje, Marekani. Baada ya kustaafu, akiwa amelitumikia taifa lake kwenye nchi mbalimbali duniani, aliweka makazi yake Ufilipino, akifanya kazi na Shirika la Marekani la Misaada (USAID). Katika maisha yake, Gleeck aliandika vitabu 14...
  2. BARD AI

    Naibu Spika ashauri Serikali kudhibiti makato ya Mabenki na Kampuni za Simu kwa wateja

    Baada ya Serikali kutangaza kufuta baadhi ya Tozo za miamala ya Kieletroniki, Naibu Spika Mussa Zungu amesema Serikali iangalie namna ya kupunguza makato yanayokatwa na Mabenki na Kampuni za Simu kwasababu yanazidi Tozo zinazochukuliwa na Serikali. Zungu amesema wananchi wengi hawatazami mapato...
  3. HIMARS

    Makato ya huduma za kifedha yamezidi

    BOT kama mamlaka inayosimamia shughuli zote za fedha, je mlipitisha haya makato ya banki? Je, mlikaa na wadau kujua athari za makato makubwa ya kifedha kwa kutoa pesa kwenye benki/mawakala? Hebu pitieni upya haya makato, maana hakuna furaha kufurahia benki imepata faida kubwa kumbe wanatuumiza...
  4. BARD AI

    CHADEMA yataka Mwigulu ajiuzulu

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekoleza moto kuhusu kilio cha tozo za miamala ya kielektroniki huku kikitaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuachia ngazi au atumbuliwe. Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema kutokana na suala hilo kuzidi kulalamikiwa na...
  5. Mwande na Mndewa

    Tanzania bila tozo inawezekana

    TANZANIA BILA TOZO INAWEZEKANA. Leo 12:15hrs 10/09/2022 Tozo ni makato yanayofanywa katika kila hatua ya mtu kutaka kuitumia fedha yake, jambo ambalo halishauriwi kwenye kodi,chukulia kwa mfanyakazi aliyelipwa mshahara wake benki,akitoa anakatwa tozo wakati tayari ameshakatwa kodi ya...
  6. BARD AI

    Makali ya tozo yalianzia hapa

    Wakati Serikali ikikiri kupokea maoni mbalimbali kuhusu tozo za miamala ya simu na kuahidi kuyafanyia kazi ndani ya kipindi kifupi, wadau wamelinyooshea kidole Bunge kwa kupitisha sheria ya fedha yenye marekebisho ya kodi na tozo, ambazo sasa zimezua malalamiko kwa wananchi. Kwa takribani wiki...
  7. S

    Makato kwa utaratibu wa asilimia kwenye mishahara ya watumishi, ni utaratibu usiofaa; Kuwe na utaratibu wa kuomba kibali cha kuongeza makato hayo

    Katika mishahara ya watumishi wa umma, kuna makato ya lazima ambayo ni PAYE, Bima ya Afya, Makato ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii na makato mengine ya kujiunga kwa hiari kama ya vyama vya wafanyakazi, nk. Nachojiuliza, ni sahihi mshahara unapopanda na makato haya kupanda automatically? kwa maneno...
  8. Robert S Gulenga

    Wakati tunaomba Serikali iangalie kilio cha tozo zilizopitishwa na Bunge, tuanze kupiga kelele na makato yanayotozwa na Makapuni ya Simu

    Watu wengi wamekuwa wakichukua gharama zote za kutuma au kutoa fedha kwenye miamala ya simu kama ndio tozo. Ukweli ni kwamba makampuni ya simu yamekuwa yakitoza ada kubwa saana kwenye kutoa au kutuma fedha. Kwa mfano kuna baadhi ya kampuni ukituma fedha kiasi cha shilingi 5,000/= jumla ya...
  9. D

    MAKATO YA BENKI

    Serikali Yeyote duniani Huwa Ina wajibu wa kuleta unafuu wa maisha Kwa wananchi wake. Kwa namna yeyote serikali inatakiwa kuhakikisha wananchi wake wanafurahia matunda ya kuwa wananchi katika taifa Hilo . Binafsi ninasikitishwa Kwa mwenendo wa serikali yetu ambavyo imekuwa ikifanya Kwa siku za...
  10. I am Groot

    Mnaambiwa: Msijichanganye kwenye makato mengine ya watoa huduma yaani benki/kampuni ya simu na VAT. Tozo ya serikali inajitegemea

    Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/- Pia tusichanganye makato mengine ya watoa huduma yaani benki au...
  11. A

    Makato ya tozo Benki ya PBZ

    Kila mteja wa PBZ anaetumia PBZ mobile ametumiwa ujumbe usemao: "Ndugu mteja, PBZ itaanza kutekeleza agizo la serikali la kutoza tozo kwa kila unapotoa pesa, kuanzia tarehe 01/07/2022. Asante kwa Ushirikiano" Ujumbe huu umewafadhaisha wateja wengi wa PBZ na kujiona kuwa hata kile kipato chao...
  12. mirindimo

    Mshahara unaongeza 8,000 halafu makato 9,000, una akili sana

  13. P

    Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

    Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000? Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote...
  14. MoseKing

    Tatizo kubwa siyo "Nyongeza ndogo" ya mshahara, tatizo kubwa kukatwa mpaka na vyama vya wafanyakazi (Rais Samia ondoa makato ya lazima ya vyama)

    Makato ya Lazima ya Vyama vya wafanyakazi kwa jina la Ada ya UWAKALA ifutwe. Kujiunga na Vyama vya wafanyakazi libaki kuwa Jambo la hiari. Hii ni DHULMA. Wabunge Wana mishahara ya 3.8M kwanini kiasi kinachoongezwa hawaweki kwenye BASIC kwasababu wanajua kitakatwa. Mtumishi hatakuja kupata...
  15. Rangooo

    Ni benki ipi bora kwa ajili ya savings (yenye makato madogo na urahisi wa upatikanaji n.k) hapa nchini?

    Habari wana JF, Natumai wazima ndugu zangu nimekuja kuomba ushauri kuhusu bank gan hapa nchini yenye makato nafuu kwa mwezi, na pia wakati wa utoaji, na ipi yenye huduma bora sana, na yenye internet banking bora. Pia yenye urahis wa kupatikana namaanisha ATM's nyingi. Na je what if mtu akitaka...
  16. JET SALLI

    Kwanini waraka wa kisheria unaomkataza mwajiri kuingiza makato ya vyama viwili vya wafanyakazi kwa mpigo bila ridhaa ya mtumishi,hauheshimiwi?

    Ndugu zangu nimejiuliza maswali kadha wa kadha kuhusu suala la MWAJIRI kupitia ofisi ya Afisa utumishi kuingiza makato ktk mshahara wa mtumishi kwa vyama viwili tofauti vya wafanyakazi ktk mshahara wa mtumishi,nimefuatilia suala la Sumbawanga ,vilevile bado nafuatilia na mikoa,pamoja na wilaya...
  17. M

    Mwajiriwa wa serikali wa TGS E anakatwa kiasi gani kwenye kila mshahara wake?

    Habari wakuu, Mimi sio mwajiriwa ila ni mtafutaji ambaye ikitokea nkaingia kwenye mfumo basi ntakuwa kwenye daraja la TGS E. Kujua jambo ni vyema sana, mimi nilikuwa mnufaika wa bodi ya mikopo (HESLB). Napenda kujua taasisi husika kama NHIF, NSSF, PSSSF, HESLB na TRA (PAYE) wanakata kwa...
  18. CK Allan

    Ni wakati sasa kwa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) kupunguza Makato kutoka 2% Hadi 0.5% ili kumuunga mkono mama

    Tayari lile jambo letu limekuwa 23.3% Kama tujuavyo mshahara unavyopanda na Makato, Kodi, bima, n.k nayo yanapanda. Kwakuwa CWT inajiweza na Ina wanachama wengi (pengine kuliko Chama chochote Cha wafanyakazi) hapa nchini, Basi nao wapunguze asilimia 1.5 Ibaki 0.5% Ili kusudi nyongeza hii...
  19. mirindimo

    Kinachosababisha mafuta kupanda ni huu utitiri wa kodi

    Mtu mwenye Makato ya Zanzibar naomba utuwekee unaoni hapa tafadhali
  20. I

    Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE?

    Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE? Naam naombeni jibu hapo
Back
Top Bottom