makosa

Makossa is a Cameroonian style of urban music. Like much other late 20th century music of Sub-Saharan Africa, it uses strong electric bass rhythms and prominent brass. In the 1980s makossa had a wave of mainstream success across Africa and to a lesser extent abroad.
Makossa, which means "(I) dance" in the Douala language, originated from a Douala dance called the kossa. Emmanuel Nelle Eyoum started using the refrain kossa kossa in his songs with his group "Los Calvinos". The style began to take shape in the 1950s though the first recordings were not seen until a decade later. There were artists such as Eboa Lotin, Misse Ngoh and especially Manu Dibango, who popularised makossa throughout the world with his song "Soul Makossa" in 1972. The chant from the song, mamako, mamasa, maka makossa, was later used by Michael Jackson in "Wanna Be Startin' Somethin'" in 1983. Many other performers followed suit. The 2010 World cup also brought makossa to the international stage as Shakira sampled the Golden Sounds popular song "Zamina mina (Zangalewa)".
Makassi is a lighter style of makossa.

View More On Wikipedia.org
  1. Countrywide

    Rais Samia hongera kwa kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye uteuzi wa Azza Hilal Hamad

    Moja kwa moja nimpe mama Samia hongera kwa kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye teuzi za makatibu tawala na zile za wakurugenzi wa mashirika mfano ile teuzi ya DG wa TPDC. Ni wazi Kuna majina mama anayopewa ya teuzi yakiwa na makosa. Ieleweke mama Samia hawezi kuwajua watu wote hivyo ni wazi...
  2. Jidu La Mabambasi

    Ndugai, suala la Ubunge wa Mdee kubalini makosa ili myasahihishe na mheshimike

    Katika Awamu hii ya Mama Samia , ingalau Rais anajaribu kurudisha conscience ya jamii, kisiasa kuheshimu ukweli na uungwana. Suala la Mdee na wenziwe 18 kuwepo Bungeni kwa barua za kughushi linamuondolea heshima Ndugai. Leo akisimama na majoho yake ati kutetea ukweli wa kitu fulani au issue...
  3. GENTAMYCINE

    Je, Matrafiki huwa wanayajuaje kwa haraka Magari ya Taasisi ' Nyeti ' nchini na hawayakamati na kuyaruhusu tu yapite hata kama labda yana Makosa?

    Binafsi huwa natamani mno Kuyajua Magari yao nikiwa njiani ( natembea kwa Miguu ) lakini sijaweza kuyajua ila nimeambiwa Matrafiki wote huwa wanayajua Kiurahisi sana tu hata kama yako mbali au yakisimama ana kwa Kuyaangalia au kwa Kumhoji Dereva ( Mwendeshaji wake ) Ninataka kuyajua ili niwe...
  4. Pascal Mayalla

    Je, Hatuna Wanawake wa kutosha kukidhi 50/50 au kuna kosa?

    Wanabodi, Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kila nipatapo fursa, huwa naendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zina lengo la kukuza uzalendo na kulisaidia taifa letu, kusaidia nchi yetu, kusaidia serikali yetu na kusaidia viongozi wetu waweze...
  5. B

    Mshukiwa aliyefungwa miaka 43 gerezani kimakosa

    Mshukiwa aliyefungwa miaka 43 gerezani kimakosa Kevin Strickland, ambaye alifungwa gerezani kwa miaka 43 kimakosa kwa madaia ya hatia ya mauaji matatu katika jiji la Kansas nchini Marekani (USA), ameachiliwa huru. Kulingana na ripoti ya Sputnik, kesi hiyo ilianzishwa baada ya mauaji...
  6. S

    Kama DPP haondolewi ofisini mpaka afanye makosa au awe na tatizo la kiafya, Rais kamuondoa katika mazingira gani?

    Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi. Hata katika hili la kwenda kinyume na...
  7. boniuso

    Fursa ambayo kila mtu anaiona hiyo siyo fursa

    MAKOSA 3 AMBAYO WATU WENGI HUFANYA WANAPOWEKA MALENGO Kila mtu hujiwekea malengo yake kwa kukusudia kubadilisha maisha yake lakini malengo mengi huwa hayatimii Watu wengi huwa hawajifunzi ila huiga na kufanya vitu kwa sababu wameona kuna watu wanafanya Kama utakuwa miongoni wa watu wengi...
  8. B

    Songwe: Miaka 200 jela au faini Tsh Milioni 52 kwa makosa 60 ikiwemo kughushi nyaraka

    Leo tarehe 07/05/2021 Mahakama ya wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe imemhukumu ndugu SEMENI GWEWA MSWIMA (Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Mlowo) Kifungo cha miaka 200 au kulipa faini ya Tshs.52,000,000/= pamoja na kurejesha kiasi cha Tshs.30,850,000/= alichoiibia Halmashauri wilaya ya Mbozi. Kesi...
  9. Lazaro Samwel

    Unawezaje kujua kama unafanya makosa kwenye matangazo yako ya kulipia? (Facebook na Instagram)

    Na wewe huwa unajiuliza swali hili au huwa unaogopa kujiuliza kwasababu unahofia kuona makosa yako? Ukweli ni kwamba wengi swali hili kulifanyia kazi huwa hatutaki kwasababu tunaona tutajiumiza kwa ukweli ambao tutaujua kupitia matangazo ambayo huwa tunayafanya. Kuna njia nyingi sana za kujua...
  10. Mohamed Said

    Makosa katika historia ya TAA yanayohitaji kurekebishwa haraka

    Historia ya TAA kama ilivyoelezwa na CCM hapo juu inahitaji kusahihishwa. Naweka hapo chini kipande kutoka makala niliyoandika mwaka wa 2019 kusahihisha makala ya Mzee Pius Msekwa kuhusu historia ya TAA: "Katika gazeti la Tazama la leo tarehe 14 Oktoba 2019 kuna makala iliyoandikwa na Pius...
  11. The Boss

    Mei Mosi 2021: Makosa niliyoyaona kwenye Hotuba ya rais Samia na wasaidizi wake

    Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini. Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama. Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine. Kama Samia alikuwa anajua...
  12. comte

    Hakuna aliye juu ya sheria- hii kwa makosa inatumika tu hapa kwetu ila Uingereza Malkia wao haihitaji leseni ya udereva

    The Queen is the only person in the United Kingdom who can drive a car without a driver's license. She has been driving since she was 19, and she does not need a license because they are issued in her name; therefore, she gets to enjoy the rights that exclude her from the law.
  13. O

    Utafsiri wa Sheria na hatma ya Haki nchini Tanzania

    MAKOSA YA JINAI YASIYO NA DHAMANA YANADHAMINIKA (Non Bailable Offences are Bailable) Obadia Kajungu, Esq. ADVOCATE. Dibaji (Forewords) Sisi wanasheria ndiyo kikwazo cha haki nchini Tanzania na hii ni kwa sababu tumeacha kuzitendea haki sheria kwa kushindwa kuzitafsiri sambamba na matakwa ya...
Back
Top Bottom