Usiogope kufanya makosa kwani kwenye kufanya makosa hakika kunaleta manufaa pia
Sikia hii,,maziwa yakiharibika yanakuwa mtindi,na mtindi unabei kubwa kuliko maziwa,,
Juisi ya dhabibu ikiharibika inakuwa wine,na wine ina gharama kubwa kuliko juisi ya dhabibu
Alexander kolumbasi alifanya makosa...