Walichoambulia ni Urusi kutoa ahadi ya kutuma chakula Somalia na mataifa mengine tano, chakula chenyewe kiduchu yaani tani 25,000 ukizingatia umaja wa Mataifa (UN) hutuma tani 725,000 Afrika hii.
Hiyo hafla iliwakilishwa na mataifa 17 kati ya mataifa 52 ya Afrika.
============================...