Huu mjadala nimeutoa Facebook tuuchakate kwa mapana yake.
Ni kwa nini taasisi za kanisa zinapotengeneza faida waumini hatuhusishwi na wala hatunufaiki na lolote?
Ukondoo sasa basi, tunatumia akili zetu kwa kila jambo.
=========
INAWEZEKANA KUNUSURU MALI ZA KANISA LA KKKT ZISIPIGWE MNADA NA...