MALKIA ELIZABETH (1926 - 2022) KATIKA NYARAKA ZA SYKES 1953
Katika nyaraka za Sykes kuna nakala ya barua ya tarehe 2 June, 1953 kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA 1953:
Rais: Julius Nyerere
Makamu wa Rais: Abdulwahid Sykes
Katibu Mkuu: Dome Okochi...
Kutoka kutekwa nyara hadi talaka na shutuma za ubaguzi wa rangi, familia ya kifalme imekuwa mgeni kwa kashfa kwa miongo kadhaa.
Malkia Elizabeth II anasifiwa kwa kiasi kikubwa kustahimili dhoruba mbalimbali, picha ya utulivu huku kukiwa na drama za familia ambazo zilitengeneza lishe yenye juisi...
Malkia wa Uingereza, Elizabeth II amefariki dunia akiwa na miaka 96 huku akiwa ni Kiongozi wa Kifalme aliyetawala kwa muda mrefu zaidi (miaka 70) katika historia ya Taifa hilo.
Imeelezwa kuwa Kiongozi huyo ambaye pia ameweka historia ya kuwa Kiongozi wa Nchi aliyeongoza akiwa na umri mkubwa...
For those of us who English is not their first language, read on!!Here is a speech delivered by Idi Amin at a sumptuous luncheon hosted By Queen Elizabeth II of Great Britain .
My majesty Mr. Queen Sir, horrible ministers and members of parliament, invented Guests, ladies under gentlemen. I...
Paka Reuben sasa anajulikana kama
, Sir Ruben J. Cat, KBE
A cat in Exeter who is famous for moving into peoples homes for months at a time is to have a book published about his adventures.
Ruben the cat is well known for wandering the streets of Exeter and paying visits to houses around his...
MALKIA ELIZABETH NA VIONGOZI WA TAA 1953
Picha hiyo hapo chini ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth imenirudisha nyuma sana hadi mwaka wa 1953.
Nimeitazama hiyo picha ya viongozi awa wawili nikaamua kufungua kitabu cha Abdul Sykes niangalie nimeandika nini kuhusu Mwalimu Nyerere na Malkia...
Malkia ana train yake, inakuwa na mabehewa mpaka tisa kutokana na umuhimu wa safari yake na idadi ya wasafiri. Train hii humuwezeshs yeye pamoja na familia yake hata wageni wake kusafiri kwa amani bila usumbufu.
Hili ni behewa la chakula, wanawekewa chakula wakiwa safarini yeye na wageni wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.