BADO MAMA SAMIA SULUHU, HAJAINGIA KWENYE 18 ZANGU.
Na, Robert Heriel
Tangu Rais Samia alipoingia kwenye utawala, watu wengi wamekuwa wakihitaji maoni yangu juu ya utendaji kazi wake. Wengi wamekuwa wakinambia kuwa mbona sijaandika makala zozote zinazomlenga SSH. Ni kweli kabisa, mpaka muda...