mambo 10

Mambo is a genre of Cuban dance music pioneered by the charanga Arcaño y sus Maravillas in the late 1930s and later popularized in the big band style by Pérez Prado. It originated as a syncopated form of the danzón, known as danzón-mambo, with a final, improvised section, which incorporated the guajeos typical of son cubano (also known as montunos). These guajeos became the essence of the genre when it was played by big bands, which did not perform the traditional sections of the danzón and instead leaned towards swing and jazz. By the late 1940s and early 1950s, mambo had become a "dance craze" in the United States as its associated dance took over the East Coast thanks to Pérez Prado, Tito Puente, Tito Rodríguez and others. In the mid-1950s, a slower ballroom style, also derived from the danzón, cha-cha-cha, replaced mambo as the most popular dance genre in North America. Nonetheless, mambo continued to enjoy some degree of popularity into the 1960s and new derivative styles appeared, such as dengue; by the 1970s it had been largely incorporated into salsa.

View More On Wikipedia.org
  1. Camilo Cienfuegos

    Mambo 10 kuhusu Dick Cheney, Makamu wa Rais aliyekuwa na nguvu zaidi katika historia ya Marekani

    Mfahamu Dick Cheney aliyepata kuwa Makamu wa Rais wa 46 nchini Marekani katika utawala wa Rais George W. Bush 1. Jina lake kamili ni Richard Bruce Cheney, mzaliwa wa Lincoln huko Nebraska nchini Marekani, alizaliwa 30 January 1941. Ni mwanasiasa mashuhuri wa chama cha Republican lakini pia ni...
  2. FAJES

    Mambo 10 yaliyopo Ulaya, hasa hasa Sweden, pengine kwako ni mageni, na ungependa kuyafahamu

    Wakuu, heshima kwenu.! Kama ilivyo ada, JF ni kisima cha habari, stories, ucheshi na mengineyo. Ili kuifanya JF iendelee kuwa kisima cha taarifa, naomba nami leo ku-share mawili matatu kuhusu mada tajwa hapo juu. 1) Kwa muda wote niliopo huku, miaka mitatu sasa, nimesafiri na kutembea maeneo...
  3. Cannabis

    Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

    Mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmonize afunguka kuhusu mkataba alioingia na WCB amesema alikuwa akipewa 40% ya mapato yoyote anayoingiza na WCB kuchukua 60% ameamua kuelezea hayo yote kutokana na watu kuwa dhana ya kwamba yeye ni msaliti. Amesema alifanyiwa fitna nyingi zilizopelekea yeye...
  4. BAKIIF Islamic

    Wajibu wa mtoto kuwafanyia wazazi wake mambo 10

    Assalamualaikum Mambo 10 unatakiwa kuwafanyia wazazi wako wakiwa hai. 1-Ikiwa umeshafikia balekhe na una jitegemea kimaisha, ni wajibu wako kuhakikisha wazazi wako hawalali njaa. (BABA na MAMA kula yao ni wajibu wako mtoto): Utawahudumia chakula kama wao walivyokuwa wakikuhudumia wakati wa...
  5. Makirita Amani

    Rais Samia, zungumza mambo haya 10 na vijana wa Kitanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameahidi kuzungumza na vijana wote wa Tanzania kupitia vijana wa mkoa wa Mwanza. Hii ni fursa kubwa kwa Raisi kuweza kusikia kutoka kwa vijana, lakini pia kuwashirikisha vijana wa Tanzania mwelekeo wake na mategemeo yake...
Back
Top Bottom