Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wazazi/walezi kuna kipindi katika maisha yao hulazimika kutafuta wasaidizi wa kuwalelea watoto wao. Wazazi/walezi wengi katika juhudi za kuyafikia mahitaji yao na ya watoto wao hujikuta wanakosa kabisa muda wa kuwapa uangalizi wa kutosha watoto wao hivyo...
NI watu wachache sana ambao wakiandika vitabu kuhusu maisha yao, huwa wanaweka mambo yote makuu yaliyotokea katika maisha yao, kwa kuwa labda wanahofia yatawachafua au yatawapotezea umaarufu. Hivyo basi mara nyingi vitabu kuhusu maisha ya watu ambavyo vimehaririwa na wao wenyewe, hutokea kuwa...
Naam! Nawaletea neno la siku; tupo likizo kidogo.
1. KUWA NA MARAFIKI AMBAO WANA FAIDA KATIKA MAISHA YAKO: Unaweza kuta mtu katika simu yake ana marafiki zaidi ya 200 lakini hawa wote anapopata tatizo au shida akianza kuomba msaada katika hao marafiki hata shilingi laki 5 haifiki, sasa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.