Jana Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza kuwa katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/22, serikali imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi trilioni 5.151, ikiwa ni asilimia 94 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 5.462.
Kiwango hicho cha makusanyo ni ukuaji wa asilimia 17.4...
Ndugu wanabodi,
Nimefwatilia Kwa kina mijadala hii ya Tozo na Kodi ya majengo
Niseme machache!
Tulipe kodi kwasababu Kodi ndio msingi wa maendeleo yetu,bila Kodi nchi Itakua ngumu sana hii,hizi Kodi ndio tunaona mabarabara, vituo vya Afya, watumishi kupandishwa madalaja, madarasa, Elimu Bora...
Tanzania Revenue Authority (TRA) Jobs June 2021, TRA Vacancies 2021, UTUMISHI TRA Jobs 2021
1. POST TITLE: CUSTOMS ASSISTANT II - 7 POST
POST CATEGORY(S): ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To receive documents...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.