man utd

Manchester United Football Club is a professional football club based in Old Trafford, Greater Manchester, England, that competes in the Premier League, the top flight of English football. Nicknamed "the Red Devils", the club was founded as Newton Heath LYR Football Club in 1878, changed its name to Manchester United in 1902 and moved to its current stadium, Old Trafford, in 1910.
Manchester United have won more trophies than any other club in English football, with a record 20 League titles, 12 FA Cups, five League Cups and a record 21 FA Community Shields. United have also won three UEFA Champions Leagues, one UEFA Europa League, one UEFA Cup Winners' Cup, one UEFA Super Cup, one Intercontinental Cup and one FIFA Club World Cup. In 1998–99, the club became the first in the history of English football to achieve the continental European treble. By winning the UEFA Europa League in 2016–17, they became one of five clubs to have won all three main UEFA club competitions.
The 1958 Munich air disaster claimed the lives of eight players. In 1968, under the management of Matt Busby, Manchester United became the first English football club to win the European Cup. Alex Ferguson won 38 trophies as manager, including 13 Premier League titles, 5 FA Cups and 2 UEFA Champions Leagues, between 1986 and 2013, when he announced his retirement. Manchester United is one of the most widely supported football clubs in the world, and has rivalries with Liverpool, Manchester City, Arsenal and Leeds United.
Manchester United was the highest-earning football club in the world for 2016–17, with an annual revenue of €676.3 million, and the world's third most valuable football club in 2019, valued at £3.15 billion ($3.81 billion). After being floated on the London Stock Exchange in 1991, the club was taken private after a purchase by Malcolm Glazer in 2005 at almost £800 million, of which over £500 million of borrowed money became the club's debt. From 2012, some shares of the club were listed on the New York Stock Exchange, although the Glazer family retains overall ownership and control of the club.

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    Kumbukumbu: Miaka 12 iliyopita siku kama ya leo - Man Utd 8-2 Arsenal

    Hakika Sir Alex alikuwa mwalimu wa mpira. Siku kama ya leo, miaka 12 iliyopita, Sir Alex Ferguson aliiongoza Man Utd kuinyoa Arsenal 8-2. Ni pambano la kukumbukwa sana. Arsenal ilikuwa chini ya Profesa Arsene Wenger. Hii mechi uliicheki ukiwa wapi?
  2. Sky Eclat

    Wayne Rooney's son Kai sees himself playing for Man Utd in Premier League in 10 years

    Wayne Rooney’s son Kai says he sees himself playing in the Premier League in 10 years time - and that his biggest inspiration is his dad. The 13-year-old is currently in Man United’s academy system. He said: “In ten years hopefully I will be playing in the Premier League for Man United …that’s...
  3. ESCORT 1

    Kutana na Phil Jones, mchezaji asiyecheza Man Utd lakini hauzwi na hana mpango

    Philip Jones alisajiliwa na aliyekuwa kocha wa Man Utd, Sir Alex Ferguson mwaka 2011. Kipindi hiko akiwa kinda akichezea Blackburn Rovers. Alitajwa kama mchezaji bora katika nafasi ya ulinzi wa kati kwa siku za usoni. Phil Jones akaanza kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara. Nafasi yake ya...
  4. Greatest Of All Time

    Man UTD bila Casemiro itatoka salama kweli Emirates?

    Saa 1:30 usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki, Arsenal itakuwa inashuka dimbani kupambana na wapinzani wao Man Utd. Man Utd itashuka dimbani bila kiungo wao mahiri Casemiro, ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana kwao. Ikumbukwe mechi ya kwanza Man Utd alishinda 3-1 dhidi ya Arsenal pale Old...
  5. Teko Modise

    Unazungumziaje usajili wa Antony pale Man Utd baada ya mechi kadhaa sasa

    Jamaa ni kama amenunuliwa pesa nyingi na ameshindwa kuonyesha kwanini walimnunua kwa pesaa nyingi. Kwakifupi ni kama wamepigwa.
  6. JanguKamaJangu

    Mashabiki Man UTD waiomba timu yao kutomsajili Memphis Depay

    Sababu ya kutoa maoni hayo ni kwa kuwa wana hofu yasije kujitokeza kama yaliyotokea kwa Cristiano Ronaldo ambaye aliwahi kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio lakini baada ya kurejea mambo hayajawa mazuri kama ilivyokuwa awali. Depay ambaye aliwahi kuichezea United mwaka 2015 hadi 2016, alifunga...
  7. JanguKamaJangu

    David Beckham aweka wazi nia yake ya kuinunua Man United

    Nyota huyo wa zamani wa soka ameelezea nia yake hiyo ambapo mpango wake ni kushiriki katika muungano wa watu wanaoweza kuinunua klabu kwa kuwa yeye peke yake hana uwezo huo. Hiyo inamaana kuwa kuhusika kwa Beckham kunaweza kuwa na manufaa kwa wanunuzi wengine kutokana na historia yake ya muda...
  8. D

    Man Utd walifanya kosa la Karne la Kutompa timu Conte

    Yalikuwa ni maamuzi ya wazimu kabisa. Tazama ndani ya muda mfupi tu Spars ilivyobadilika, Naamini kabisa kwa Man Utd mwaka huu Conte angeli challenge Title na Man City.
  9. Poker

    Auwiiiiiii kumekuchwa narudia tena kumekuchwa EPL MAN UTD KAFA HUKO!!😂😂

    Mwanitesa united a.k.a manyua au maarafu kama man utd imekumbana na kitu kizito kichwani leo hii baada ya kulwamba magoli 2-1 hi timu ni mbovu mnoo inaleta stress, inaleta magonjwa ya moyo kila siku ni huzuni juu ya huzuni!
  10. Camilo Cienfuegos

    Usajili Man Utd kulikoni?

    Zimebaki wiki mbili kabla ya pre season ya Man Utd ianze mwishoni mwa mwezi huu lakini mpaka leo hakuna usajili wowote uliofanyika. Mashabiki wa Man Utd wana matumaini makubwa sana Kocha mpya wa Man Utd, Eric Ten Hag (ETH), lakini matumaini hayo yanaweza yakayeyuka kama hatopewa/kusajiliwa kwa...
  11. JanguKamaJangu

    Kocha Man. Utd Asaini Mkataba Kuifundisha Austria, Mashabiki Wakasirika

    Kocha wa Manchester United, Ralf Rangnick ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Austria majukumu ambayo atayaanza baada ya kumalizika kwa msimu huu. Pamoja na hivyo atakuwa akiendelea na mjukumu ya kuwa mshauri wa Man United jambo ambalo mashabiki wa timu hiyo wamekasirika na wamekosoa...
  12. Championship

    Timu nyingi zimepigwa kwenye usajili kuanzia Chelsea, Man Utd, PSG, Arsenal, Yanga, Simba

    Chelsea: kumsajili Torres kutoka Liverpool na Lukaku kutoka inter. Man Utd: kumsajili Ronaldo kutoka Juventus. Psg: kumsajili Neymar na Messi kutoka Barcelona. Arsenal: kumsajili Pepe kutoka Lille. Yanga: kumsajili Makambo mara ya pili. Simba: kumsajili Chikwende kutoka Platnum.
  13. John Haramba

    Mwanafunzi afariki kwa kupigwa risasi shuleni, kisa kuzuia kuangalia mechi ya Man Utd

    Mwanafunzi amefariki kwa kupigwa risasi wakati polisi wakituliza vurugu za wanafunzi wa Shule ya Sekondari Gulu nchini Uganda, zilizotokana na kuzuiwa kutazama mchezo wa Man City dhidi ya Man United, Jumapili Machi 6, 2022. Mwanafunzi huyo ametajwa kuwa ni Gabriel Rwotomiya ambaye alikuwa...
  14. Greatest Of All Time

    De Gea adai Man Utd wamepewa laana

    Golikipa wa Man Utd, David De Gea anadai kuwa timu yao itakuwa imepewa laana na ndio maana haifanyi vizuri kwasasa! Sijui tunachokifanya kwasasa, matokeo yamekuwa mabaya siku mpaka siku, nafikiri kuna mtu atakuwa ametupa mkosi/laana, aliongeza De Gea. Una maoni gani kuhusu kauli ya De Gea...
  15. John Haramba

    Man Utd yatupwa nje FA Cup, mashabiki wamponda Ronaldo

    Baadhi ya mshabiki wa soka wamemponda na kumdhihaki Cristiano Ronaldo mara baada ya kukosa penati na kushuhudi timu yake ya Manchester United ikiondolewa katika Kombe la FA dhidi ya Middlesbrough. Ronaldo, 36, alikuwa na nafasi ya kuanza kufunga katika dakika za mwanzo kwa penati baada ya Paul...
  16. Frumence M Kyauke

    Cristiano Ronaldo: Mshambulizi wa Man Utd na Ureno anakuwa mchezaji wa kwanza kufunga mabao 800 ya kiwango cha juu

    Takwimu: Mechi 1,097, mabao 801. Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia kufunga mabao 800 ya kiwango cha juu katika maisha yake ya soka alipoifungia Manchester United mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal siku ya Alhamisi. Ilikuwa ni jibu la kawaida la...
  17. Cambodian

    Simba na Man Utd kufungwa weekend itakuwa tulivu sana

    Simba 0 Yanga 1 Man Utd 0 Villa 1
  18. marcoveratti

    Kwako Ole Gunner Solkjær

    OGS nakuombea kila la heri leo maana kwenye GROUP letu la WhatasApp watu wamesha andika MAKALA YA UDHAHIFU WAKO, MAKOSA YAKO, CV YAKO kwakifupi MISHALE IPO KWAKO wanasubiri UTELEZE TU uweze kujua RANGI YAO RASMI NI HIPI. OGS omba sana, sali sana maana wapo MASHABIKI WENZETU NA MAMLUKI siku ya...
  19. Shadida Salum

    Sajili za Wachezaji zilizotamba sana lakini zikadunda

    Imekuwa ni utamaduni wa kawaida kwa vilabu vya Mpira wa miguu Ulimwenguni kufanya usaliji (kununua Wachezaji) pindi madirisha ya usajili yanapofunguliwa. Katika harakati hizo kuna baadhi ya Wachezaji ambao sajili zao huwa na mbwembwe nyingi na kuibua taharuki kwa Mashabiki lakini kwa bahati...
  20. Shadida Salum

    Ligi ya Europa: Mbivu na mbichi za fainali kujulikana leo

    Michezo miwili ya nusu fainali ya Europa kurindima hii leo majira ya saa 4:00 usiku katika viwanja viwili tofauti ,ambapo Roma itakuwa nyumbani kuialika Manchester United huku Arsenal ikiikaribisha Villarreal Ili Roma kutinga fainali inatakiwa kushinda goli 4-0 Kwingineko Arsenal inahitaji...
Back
Top Bottom