Mana is the spiritual life force energy or healing power that permeates the universe, in the culture of the Melanesians and Polynesians. Anyone or anything can have mana. It is a cultivation or possession of energy and power, rather than being a source of power. It is an intentional force.In the 19th century, scholars compared mana to similar concepts such as the orenda of the Iroquois Indians and theorized that mana was a universal phenomenon that explained the origin of religions.Mana is not universal to all of Melanesia.
Mtu anayekuwa na digrii 3 au zaidi je anakuwanazo ktk fani tofauti? Na je ipi maana ya phd kwa kirefu? Na masters nini na ktk hao yupi yupo juu?
Nasubiri
Ajali mbaya maeneo ya Mzumbe maiti ni nyingi.
Walioko Mzumbe tujuzeni basi la Mbeya.
UPDATE:
1). Basi la kampuni ya Ahmed Coach linalofanya safari Kati ya Tanga kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Sangasanga Mkoani Morogoro muda si Mrefu, chanzo na Habari zingine tutatoa baada ya...
MWALIMU CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE - HUDUMA YA MANA - SEMINA, MOSHI, KILIMANJARO TAREHE 16 MPAKA TAREHE 20 FEBRUARI 2022.
Bwana Yesu Asifiwe!
HUDUMA YA MANA - MANA MINISTRY - Mwalimu Christopher & Diana Mwakasege
Karibu sana watu wa Moshi na Mitaa ya Karibu, kwa walio mbali unaweza...
Wakati wa jpm nchi ilikuwa imeparaganyika watu wakabaki wanaogopa tu wale wasiojulikana na yeye mwenyewe akqbaki anawinda wanaomkosoa ili wauawe au wapewe makesi ya ajabu.
Sasa nchi imetulia tuliii na watu wameanza kupumua na kutoa ya moyoni yaliyokuwa yanawasibu Mana kipindi kile kulikuwa...
Wamarekani ni watu wajanja Sana, kwakuwa wameshikilia currency ya dunia basi wataendelea kuwa namba moja kiuchumi.
1. Bajeti yao ikipungua wanaprint dollar, feds
2. Wakipata msukosuko wanaprint dollar
3.wanaprint Dolla wanakukopesha
4. Mabenki yao yakiyumba wanaprint dollar wanawapa
Sasa...
Habari wa kuu, kama swali lilivo ningependa kujua kama mtu ana GPA za lower divisions , kisha anakazana kusoma Masters mpaka PhD, kuna opportunities gani atapata maana tumezoea hayo kwa academicians...
Siku zote watawala hawataki kugawana power na wengine wao wangependa kuhodhi power hiyo milele. Mungu fundi akaweka kifo na sisi wanadamu tukajiwekea katiba.
Rais aliyepita Magufuli alitufundisha vizuri sana umuhimu wa katiba Bora. Aliwaambia wazi wakurugenzi nikulipe mshahara nikupe gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.