Habari wanaJF,
Naomba kuuliza nina diploma ya procurement and logistics management ila nina f ya mathematics kidato cha nne vipi nitakuwa na kigezo cha kusoma degree?
Wakuu,
Kama kichwa cha thread kinavyosema. Siku ya tarehe 18/02/2022 Saa saba Kamili ulifanyika mtihani wa INFORMATION MANAGEMENT SYSTEMS (IM 305). Baada ya kutoka kwenye mtihani huo, wanafunzi baadhi walionekana kuwa na huo mtihani kwenye simu zao, ukionekana kupigwa picha mapema kabla ya...
Anonymous (8141)
Thread
business
dar
dar es salaam
information
kuvuja
management
mtihani
school
tarehe
test
Habari za wakati huu;
Kwanza nianze kwa kuwapa pongezi wale wote ambao wamejitosa na kuamua kuanzisha biashara zao ndogo na za kati.Changamoto ni nyingi na muda ni mchache na Fursa nazo ni nyingi.Watu wengi wanaposikia neno audit huwa wanchofikiri cha kwanza kabisa ni Financial Audit.Hata hivyo...
HABARI,
Hivi wanajamvi kuna umuhimu gani kusoma kozi ya risk management and insurance? Na kama upo vipi Ajira zake maana -kujiari via iyo kozi ni kipngele sana.
Mwenye -positive idea please share we with us.
Za jioni wadau
Naomba msaada wenu mimi nina diploma ya pharmacy nimemaliza mwaka jana nikataka kuendelea mwaka huu lakini nilikosa awamu zota tatu.
Likaja dirisha la huruma la awamu ya nne kwakuwa nilikuwa na cheti cha form six nikajaribu kuombea nacho pale ardhi (nilifanya kama kujaribu tuu...
Sina nia ya kumdharau mtu, lakini ukweli lazima usemwe.
Harmonize ni Msanii mkubwa kwa sasa hapa Tanzania, ukitafuta Wasanii watatu wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania huwezi mkosa Harmonize.
Harmonize ana weza fanya show mkoa wowote hapa Tanzania kwa kuwa show nyingi za hapa Tanzania kwa...
Habari wakuu,
Naomba taarifa kuhusiana na kozi ya bachelor in information systems management inayotolewa ardhi university kuhusu sehemu za ajira ambazo unaweza kuajiriwa pamoja na vitu unavosomea kuhusu kozi hii tafadhari.
Naombeni ushauri wakuu
Habari,
Msaada jamani juu ya hii kozi ya bachelor degree in project planning and management hivi inahusiana na Nini? Pili soko lake la ajira likoje hapa Tanzania?
Ajira zake serikalini zipo au hakuna kabisa? Na Je kwenye non governmental organization Hali ikoje huko
Nimechaguliwa chuo Cha institution of social work kozi ya human resources nataka kubadilisha nisome kozi ya labour relation na public management naomben ushauri wenu niende ipi Kati ya hizo au nibaki na hiyo niliochaguliwa
Job Title: Case Management Officer (CMO)
Duty Station: Bunda TC & Serengeti DC
Reporting to: Program Manager
Duration: 12 Months / Renewable (full time)
Salary: Attractive package
Position Summary;
The overall purpose of Case Management Officer position is to provide strategic leadership and...
Knowledge Management and Communication Officer (1 post) – TMSA
The Officer will be responsible for all communication activities of the Project.
Position Summary
Ifakara Health Institute seeks a Knowledge Management and Communication Officer to join the PMI | Tanzania Malaria Surveillance...
PLAN INTERNATIONAL
Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls. We believe in the power and potential of every child. But this is often suppressed by poverty, violence, exclusion and discrimination. And...
There is always poor handling issues everywhere.
Everyone who comes into power believes ideas that has just been made by the former president is right, No. We are not happy with how this is taken in to consideration. You can't dump everything in the RAGL.
How? Is not acceptable. Intelligence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.