Ushindi wa Magoli 2-0 dhidi ya Manchester City umeifanya Liverpool kuongoza Ligi Kuu ya England "Premier League" kwa tofauti ya pointi 11 dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili (Arsenal)
Matokeo hayo pia yanaifanya City chini ya Guardiola kuendelea kubaki nafasi ya Nne ikizidiwa pointi 20 na...
Goli lililofungwa na Martin Ødegaard dakika ya 2 lilikuwa na baraka ya kuifanya Arsenal kushusha mvua ya Magoli 5-1 dhidi ya Manchester City katika Ligi Kuu ya England "Premier League" kwenye Uwanja wa Emirates
Magoli mengine yamewekwa wavuni na Thomas Partey, Lewis Skelly, Kai Havertz na Ethan...
Yule full beki wetu wa kulia, HAJI MNOGA anayechezea Taifa stars na Salford city ya nchini Uingereza, anatarajia kuwa sehemu ya wachezaji watakaowakabili Manchester City leo kwenye michuano ya FA.
Mchezo utachezwa leo saa 2::45 usiku.
Haji mnoga atakuwa mchezaji wa pili wa Kitanzania kucheza...
King Mseke (9), mtoto wa msanii wa hip-hop Tanzania Joh Makini, amewasili katika Academy ya Klabu ya Manchester City nchini Uingereza kwa ajili ya mafunzo ya soka ya wiki mbili. Joh Makini amesema mwaliko huo umetokana na juhudi za muda mrefu za kukuza kipaji cha King, kilichoonekana akiwa na...
Manchester Derby live msimu 2024/25 , Mpira ushaanza
6' 0-0
14' mount anaumia atolewa nje nafasi yake inachukuliwa na Mainoo
18' 0-0
22' bado 0-0 mpira umebalance
30' 0-0
35' 0-0 man city anapata kona
36' GOOOAL MAN CITY 1-0 MAN UNITED
Garvadiol
41' 1-0
HT Manchester City 1-0...
Baada ya kuchezea vipigo mfululu, Man City leo yupo ugenini Anfield kucheza na vinara wa ligi Liverpool
Mechi ya leo, Man City hatofungwa. Hesabu za kinyota zinaonyesha kabisa leo Liverpool sio siku yao pendwa.
Tukutane baada ya dakika 90
Pep Guardiola has lost five consecutive games for the first time in his managerial career. 🤯
◉ First defeat: 2-1 vs. Tottenham
◉ Fifth defeat: 0-4 vs. Tottenham
It's also the first time he has lost a Premier League home game by 4+ goals as Man City manager.
Most Premier League wins vs. Man...
Beki wa zamani wa Manchester City Benjamin Mendy anasema alikopeshwa pesa na wachezaji wenzake wakati huo Raheem Sterling, Bernardo Silva na Riyad Mahrez wakati klabu hiyo ilipoacha kumlipa baada ya kushtakiwa kwa ubakaji na unyanyasaji wa kingono, aliiambia mahakama ya ajira.
Beki huyo wa...
Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m
Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg...
The Manchester City boss has been suffering with severe back pain for some time lately, and flew out to Barcelona for emergency surgery performed by Dr Mireia Illueca.
The surgery was a success, and Pep will now recover and rehabilitate in Barcelona.
In his absence, assistant manager Juanma...
Kevin De Bruyne amepata majeraha ya nyama za oaja wakati timu yake ya Manchester City ikishinda magoli 3-0 dhidi ya Burnley katika mchezo wa kwanza wa Premier League.
Kocha wa City, Pep Guardiola amesema madaktari watamfanyia vipimo De Bruyne kujua ukubwa wa tatizo lakini kuna uwezekano atakuwa...
Mahakama imetoa hukumu leo kuhusu kesi ya udhalilishaji wa ngono ambao mchezaji wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy anahusishwa kufanya na wanawake nchini Uingereza.
Mahakama imemkuta Benjamin Mendy kutokuwa na hatia yoyote na hivyo kumuachia huru mchezaji huyu wa Ufaransa.
Mchezaji...
Full name: Manchester City Football Club
Nickname(s): The Citizens, The Blues, The Sky Blues
Founded: In 1880 as St. Mark's (West Gorton), became Ardwick Association Football Club in 1887 and Manchester City in 1894
League: Premier League
Website: Mancity.com
Ground: City of Manchester...
Man City have been named the most valuable football club brand in the world, after topping the Brand Finance Football 50 report for the first time 🥇
Five other English clubs appear in the top 10: Man Utd (4th), Liverpool (5th), Arsenal (8th), Tottenham (9th), Chelsea (10th) 💪📊
Source: Sky sport
Goli pekee la ushindi la Nottingham Forest lililowekwa wavuni na Taiwo Anoniyi dhidi ya Arsenal, leo Mei 20, 2023 ni rasmi limeifanya Manchester City kutwaa ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na michezo miwili mkononi
Arsenal ambaye inashika nafasi ya pili, ina pointi 81 na imesaliwa na mchezo mmja...
Sina haja ya kusalimia,
Kama Manchester City tukifungwa na Arsenal naomba nipigwe ban ya mwaka mmoja.
WE ARE CITIZENS.
Moderator Moderator Mkuu @Mexence Melo Active naomba mnizingatie.
Imechukua uamuzi wa kumpa kazi Mwanasheria Lord Pannick ili awatetee katika kesi yao inayoendelea kuhusu uvunjaji wa sheria za fedha katika Premier League.
Manchester City ipo hatarini kukatwa pointi au kuondolewa katika ligi hiyo baada ya kudaiwa imefanya makosa ya kukiuka sheria za fedha mara...
Manchester City ni klabu ya mpira wa miguu iliyoko katika jiji la Manchester, Uingereza, ambayo inashiriki katika Ligi Kuu ya Uingereza.
Timu ya Manchester City
Ulianzishwa mwaka 1880 kama St Mark's (West Gorton), ikawa Ardwick Association Football Club mwaka wa 1887 na Manchester City mnamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.