manula kwenda azam

  1. H

    Tetesi: Aishi Manula anakaribia kujiunga na Azam FC

    Niko hapa kuthibitisha kuwa Aishi Manula, golikipa wa Simba SC hatakuwa kipa wa Simba SC msimu huu. Anapelekwa Azam FC Kwa mkopo. Mpango wa Simba SC ni Ayoub Lakred kuwa namba Moja akisaidiwa na Ally Salim.
Back
Top Bottom