maokoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwenye series ya Power Ghost hakupaswa afe shida maokoto

    Kama ni mfuatiliaji wa series za mablack america basi lazima utakuwa unaifaham series ya power ambayo ilifanya vizuri sana kwenye soko la filam kutokana na stori yake ilivyo na uhusika wa waigizaji kwenye ile series. Kifo cha bwana Ghost kama mhusika mkuu kiliacha majonzi sana kwa watazamaji na...
  2. Kama umewahi sikia wimbo wa msanii billnas unaosema "Zingatia maokoto" basi ukifika serengeti national park huyu jamaa ndiye huzingatia maokoto๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ

    KAMA UMEWAHI SIKIA WIMBO WA MSANII BILLNAS UNAOSEMA "ZINGATIA MAOKOTO" BASI UKIFIKA SERENGETI NATIONAL PARK HUYU JAMAA NDIYE HUZINGATIA MAOKOTO๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
  3. Forex sio lazima ubuy na kusell unaweza kufanya hivi na ukapata maokoto yasiyo na stress

    Kwenye industry ya forex sio lazima utrade huku Kuna fursa nyingi nje ya kutrade na ukapiga pesa Safi 1. Unaweza kuwa agent wa malipo ya pesa , Hawa ni watu wanaowasaidia traders katika kudeposit na kuwithdraw, , baadh ya nchi ni ngumu sana kudeposit na kuwithdraw kupitia bank , Sasa brokers...
  4. Kuna baadhi ya Taasisi/ Mashirika hapa nchini yana pesa bwana, we acha tu!

    Just imagine kuna taasisi/Shirika gawio lake kwa Serikali leo hii imetoa mamilioni ya fedha/Billions plus. Wengine taasisi zetu hata Millions 50 zimeshindwa๐Ÿ˜. Taasisi/ Mashariki kama haya ndio yanakula keki ya Taifa kwa utulivu kwani yanaweza kujiendesha na kulipa mishahara kwa watumishi wake...
  5. Unatumiaje JamiiForums kujiingizia maokoto?

    Hivi Unatumia njia gani kuingiza maokoto kupitia hili jukwaa la Jamiiforums Tupe madini
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ