Chanzo: www.trt.net.tr
Wanajeshi 4 wa China wadaiwa kufariki kwenye mapigano ya mpaka wa India mwaka 2020
Wanajeshi 4 wa China wameripotiwa kufariki mwaka jana kwenye mzozo wa mpaka wa India katika Bonde la Galvan.
Kulingana na ripoti ya Jeshi la Ukombozi wa Umma (PLA) ya gazeti la siku...