Kuna watu tokea wayajue mapenzi, hawana raha nayo ni kama wapo ukanda wa vita.
Yamewafanya wawe walevi, wafirisike, wapoteze kazi na marafiki na wamekuwa ni watu wenye misongo ya mawazo.
Ukiwa na tatizo katika mahusiano upaswi kujitenga na kuwa kimya, zungumza ama funguka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.