marais

Marais or Groupe Marais, founded in 1962 in France, is a manufacturer of trenchers. The head office and workshop buildings have been located in Durtal since 2001. Marais society via its founder, Jacques Marais is in 1962 behind the trenching wheel and the mechanized laying of cables or flexible pipes process.
At present, MARAIS line includes mainly wheel trenchers, chain trenchers, and micro trenchers.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Ni lini na sisi tutakusanya Marais wa ulaya au Amerika au Asia waje kwa pamoja tujadiliane fursa za kibiashara!?

    Najisikia vibaya sana jinsi Marais wetu huitwa kwa hawa ndugu zetu weupe kama vile unaita vitoto vyako vya kuvizaa. Natamani siku ifike na sie Africa kama si Tanzania tuwaite eu au Amerika waje hapa bongo alafu tukae nao mbele ya meza ya duara tujadili kwa usawa kabisa fursa za kibiashara baina...
  2. Yoda

    Haya maneno magumu kutoka kwa aliyewahi kuwa Rais wa Ufaransa ni ya kibaguzi?

    Haya maneno yaliyowahi kutamkwa na Sarkozy, rais wa Ufaransa kabla ya Macron. Aliyasema katika hotuba yake alipotembelea Africa kwa mara ya kwanza katika chuo kikuu cha Dakar, Senegal mwaka 2007 Maneno yenyewe yaliyolalamikiwa kuwa ni ya kibaguzi sana ni haya, "The tragedy of Africa is that...
  3. R

    Tatizo sio Marais waliopita Wala wajao Bali ni Dola kulinda hisia za mtu badala ya vipaumbele vya Taifa

    Tumekua tukikosoa Sana personality za viongozi Kila awamu,tukikemea ubadhirifu,rushwa na wizi wa Rasilimali zetu bila kujua tatizo kuu ni taasisi ya Dola ambayo inalinda utaifa,mipaka na vipaumbele vya taifa hili. Kila kiongozi anaeingia anakua na vipaumbele binafsi badala ya vya taifa letu na...
  4. GENTAMYCINE

    Kwanini Marais wa Tanzania kila kukitokea Jambo lisilo jema, la mjadala na la kuichafua Demokrasia ya nchi huamua Kulifunika kwa Teuzi za ghafla?

    Nitashukuru sana kama Machawa Wao Gegedu wakija hapa kutuelimisha Sisi tusio na uelewa wowote. Angalizo. Nimesema Marais wa Tanzania na si lazima awe wa sasa au wale waliopita. Imeisha hiyo......!!
  5. GENTAMYCINE

    Naomba mwenye Picha ya Marais Biden au Putin au Kagame au Waziri Mkuu wa Uingereza wakijipiga 'Selfies' katika Shughuli za Kikazi aniwekee hapa

    Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate...
  6. Nyankurungu2020

    Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

    Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake. Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji. Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji. Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili. Hayati Magufuli...
  7. Dr Shekilango

    Pre GE2025 Wanaotajwa Urais 2025 na 2030. Twende na yupi?

    Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha. Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi...
  8. Dr. Zaganza

    Wajue zaidi ya Marais 5 walofariki kwa ajali ya ndege

    Tukio la ajali ya Rais wa Iran, limefanya wanahistoria kupitia maktaba, na kukita taarifa zifuatazo:
  9. L

    Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

    Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania? Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka...
  10. Mto Songwe

    Marais wakataa ndoa duniani

    Haya wakataa ndoa mmefikiwa🤡 Kumbe kampeni yenu ni kubwa ina watu wazito duniani. 1. Vladimir Putin Huyu bwana nafikiri watu wengi wanamfahamu hapa duniani. Kwa wasio mfahamu huyu ni Rais wa taifa la Russia huyu bwana yeye kama Rais wa wakataa ndoa duniani toka 2013 amekuwa akiishi maisha ya...
  11. Roving Journalist

    Picha 15 za hafla ya Mazishi, Dua na Sala ya mwisho kwa Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi

    Picha 15 za hafla ya Mazishi, Dua na Sala ya mwisho kwa Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi
  12. D

    Kwanini Marais wengi Afrika Magharibi wanaoa wanawake wazungu?

    Kwa nyakati mbalimbali nimekuwa nikiona masekeseke mengi nchi za umoja wa ECOWAS ila kinachonichanganya kwanini? Ma-first lady wengi wa kizungu Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua Rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa Juzi tena...
  13. R

    Marais wa nchi za SADC wakutana kwa dharura kujadili Kipindupindu.

    Viongozi wakuu wa SADC wamekutana kwa dharura kujadili Kipindupindu. Ninapenda kufahamu kipindupindu ni agenda ya head of states au ilitakiwa kuwa chini ya wataalam wa Afya? Kwamba na umaskini wetu ambao ndio chanzo cha kushindwa kukabiliana na maradhi kama haya tunawasha ndege marais wa SADC...
  14. GENTAMYCINE

    Je, ni sahihi kwa Marais wa Afrika kufanya Promotions za Birthday Parties zao Redioni na Runingani huku nchi zao zikiwa ni Maskini na Wananchi wao?

    Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
  15. GENTAMYCINE

    Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

    Kazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
  16. Kijana LOGICS

    Rais Samia huwa haongelei ajira kwa vijana wasio na kazi kama marais wa Kenya na Rwanda

    Huwezi kusikia hâta siku MOJA rais Samia akisema serikali itafanya moja MBILI Tatu kuajiri vijana jobless Tanzania. Ni kama vijana wamesahalika kabsa hâta ajira zikitoka zinakua chache mno. Kama VP serikali iongeze Kodi vijana jobless wapatiwe ajira kutokana n'a pesa za tozo Mfano rais wa...
  17. Mhafidhina07

    Ninathibitisha kuwa Marais wa Afrika hawana akili hata kidogo

    Tunatambua uwezo wa binadamu katika kujumuika na kuendesha mambo mengine ya kidunia, uongoni ni busara ya kushawishia kupitia maamuzi kwa ajili ya wengine.bahati mbaya iliyoje viongozi wa afrika hawana sifa ya uongozi (influence) bali wamepata authority (mamlaka) na power (nguvu) ya kutuendesha...
  18. GENTAMYCINE

    Na Marais wengine jitahidini Mkistaafu mkumbukwe Vyema na wenye Akili Kubwa duniani kama huyu....

    A new report by World Bank has pointed why late former president Kibaki was Kenya’s best chief executive. Chanzo: The EastAfrican Online Newspaper Na hata tu Chuo Kikuu cha Makerere alichosoma Hayati Kibaki alisifika kwa kuwa Genius na Bingwa ( Mngwena ) wa Somo la Hesabu na Uchumi ila...
  19. BARD AI

    VIDEO: Rais wa Sudan na Mwenyekiti mpya wa EAC alivyoshindwa hata kujua Marais wa Nchi nyingine

    Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu. Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya...
  20. L

    Mkutano unaotarajiwa kufanyika kati ya marais wa China na Marekani unasubiriwa kwa hamu duniani

    Rais Xi Jinping wa China anatarajiwa kufanya ziara nchini Marekani kati ya Novemba 14-17 ambalo atakuwa na mkutano na mwenzake wa Marekani na pia kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi la Asia-Pasific (APEC). Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais Xi kufanya ziara nchini...
Back
Top Bottom